Kuhifadhi Data Muda Mrefu – Njia gani ni sahihi? SSD, HDD au DVD?
Je unataka kuhifadhi data muda mrefu na bado unajiuliza njia gani ni sahihi zaidi kati ya SSD, HDD au diski za DVD? Hii makala ni kwa ajili ya kukusaidia kukupatia majibu hayo.
Je unataka kuhifadhi data muda mrefu na bado unajiuliza njia gani ni sahihi zaidi kati ya SSD, HDD au diski za DVD? Hii makala ni kwa ajili ya kukusaidia kukupatia majibu hayo.
Katika ulimwengu wa sayansi na teknolojia kuna mengi ambayo yanaibuka, kuboreshwa kila leo ili kufanya matumizi mbalimbali ya vifaa vya kidijitali yawe mepesi na kurahisisha ufanisi wa kazi. Ulishawahi kujiuliza diski yenye uwezo wa uhifadhi mkubwa zaidi inaweza kuhimili kiwango gani cha uhifadhi wa data?
Mvutano baina ya China na Marekani kuhusu Tik Tok bado waendelea ambapo serikali ya China inasema ni bora ione TikTok inafungiwa nchini Marekani kuliko kuwafanya TikTok kuuzia kwa nguvu sehemu ya app hiyo kwa kampuni ya kimarekani.
Simu za Xiaomi zinarekodi data za mamilioni ya watumiaji wake, hicho ndicho kilichosemwa na ripoti mpya kutoka kwa mtafiti wa mambo ya kiusalama.
Je umeshatamani kuwa na diski (External) kwa ajili ya kuhifadhi data zako kiusalama zaidi? Fahamu kuhusu diski za SecureDrive KP.
Je unaweza unaweza kufikiri ni vigumu Facebook kufahamu pale watumiaji wake wanapofanya ngono? Imefahamika si vigumu, na yote yanafanikishwa kupitia mifumo ya data za apps na huduma za matangazo ya Facebook.
Korea Kaskazini wakana kuiba kwa kutumia udukuzi. Serikali ya Korea Kaskazini imekana shutuma ya kuhusika na wizi wa zaidi ya dola bilioni 2 za Kimarekani kwa njia ya mtandao.
Google wamesema wamefanya uamuzi wa kuchelewa kuruhusu apps mpya kuanza kupatikana kwenye Google Play Store kwa sababu za kiusalama.
Je ushawahi kufahamu kuna tovuti inayokusaidia kuokoa mafaili yaliyodukuliwa inayokwenda kwa jina la No More Ransom? Tovuti hii ina programu mbalimbali za kusaidia kuokoa mafailia yaliyodukuliwa na kubadilishwa na kutoweza kutumika.
Ushawahi kusikia kuhusu kampuni ya Cellebrite kutoka nchini Israeli? Tusharepoti kuhusu kampuni hii na biashara waliyofanya na FBI, na sasa wamekuja na taarifa mpya. Wanamiliki teknolojia yenye uwezo wa kudukua simu yeyote inayotumia toleo la iOS 12.
Kupitia app ya Study, Facebook wanaomba data na watatoa malipo kwa wahusika wa data hizo. Je ni jambo ambalo unaweza kukubali kushiriki?
Kampuni ya Mozilla yazindua app yake mpya inayofanya kazi ya kiupekee katika ulinzi wa data za watumiaji, app inaitwa Firefox Lockbox. App hii itahifadhi taarifa za apps na akaunti (passwords za login).
Kampuni ya Huawei kwa muda mrefu imekuwa ikifanya jitihada ya kuteka soko la Marekani na hivi karibuni imefurahi mafanikio katika maeneo kadhaa ya Marekani kwa kuuza simu janja zake kwa wingi.
Je unafahamu ya kwamba Samsung walikuwa wameshikilia rekodi ya utengenezaji wa diski ya SSD yenye ujazo mkubwa zaidi?
Jambo la kuweka neno siri/nywila imekuwa ni kitu ambacho kimezoeleka na pengine mtumiaji hatojihisi yuko salama kama hatoweka nywila kwenye simu yake.
Tume ya TEHAMA nchini imeandaa kongamano litakalowahusisha wadau mbalimbali wa teknolojia ya habari na mawasiliano itakayofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 26 na 27 mwezi huu.
Wasimamizi wa masuala ya mawasiliano nchini Urusi wametishia kuufungia mtandao wa Facebook nchini humo kufikia mwaka 2018.
Saudi Arabia yaondosha marufuku ya kupiga simu za Skype, WhatsApp na Viber. Imeondosha marufuku ya kupiga simu kwa njia ya mtandao kupitia programu/apps kadhaa zenye kuruhusu kufanya hivyo.