Ifahamu kiundani Huawei P40 4G
Katika ushindani wa kibiashara moja ya kampuni ambazo bidhaa zake zinapendwa Huawei Technologies Co. LTD ni miongoni mwao na wana simu janja nyingi, nzuri tuu sokoni.
Katika ushindani wa kibiashara moja ya kampuni ambazo bidhaa zake zinapendwa Huawei Technologies Co. LTD ni miongoni mwao na wana simu janja nyingi, nzuri tuu sokoni.
Tuliandika kuhusu ujio wa simu za Samsung Galaxy S21, S21 Plus na S21 Ultra siku chache nyuma, sasa hizi ndio bei zake rasmi kupitia mtandao wa Tigo Tanzania. Tunategemea hazitapishana sana na bei rasmi.
Xiaomi ni kampuni ya kiteknolojia yenye makao makuu yake nchini Uchina. Inajihusisha na vitu vingi kama Simu za mkononi, vifaa vya nyumbani kama runinga, huduma za uhifadhi wa kimtandao na kadhalika.
Simu ya Samsung Galaxy A21s ni mojawapo ya matoleo ya chini ya kampuni ya Samsung.
Kampuni ya Tecno inasifika kwa kutoa simu zenye thamani nzuri kwa pesa ya mnunuaji, zikiwa na faida kubwa kama kukaa na chaji kwa muda mrefu wa matumizi na pia kamera zenye ubora mzuri kwa matumizi mbalimbali ya upigaji picha. Simu hii ya Tecno Camon 15 inaendelea kuwa katika sifa hiyo ya thamani nzuri.
Simu ya Samsung Galaxy M02s imeanza kupatikana rasmi nchini India na inategemewa kuanza kupatikana katika mataifa mengine kote.
Kwa kufungua mwaka 2021 Samsung waleta simu mpya za kuvutia zinazobeba majina ya Sumsang Galaxy S21, S21 Plus na S21 Ultra.
Whatsapp Plus ni programu isiyo rasmi ambayo inaruhusu watumiaji kuungana na kila mmoja kwa njia za hali ya juu zaidi.
Tecno Spark 5 ni mojawapo kati ya simu toka kampuni ya Tecno ambayo ina thamani nzuri kwa gharama yake ya manunuzi.
Kampuni ya Nokia yenye makao makuu yake nchini Finland kwa wakati huu inatoa simu ambazo zinatumia mfumo endeshi wa Android. Hii ni baada ya kampuni hio kuachana na mfumo endeshi wa Windows.
Infinix Note 7 ni simu ambayo inadhidi kulinyanyua jina la simu za Infinix katika ubora – wa muonekano na wa kiteknolojia. Infinix Note 7 ni simu mpya kutoka Infinix iliyoanza kupatikana Julai mwaka 2020.
Lenovo wametambulisha laptop mpya inayokwenda kwa jina la ThinkPad X1 Fold laptop yenye skrini yenye uwezo wa kukunjwa.
Apple watambulisha prosesa mpya za M1 kwa ajili ya kutumika katika laptop zake za Macbook. Kupitia prosesa hii wameweza kutengeneza laptop zenye ufanisi bora zaidi ukilinganisha na kama laptop hizo zingekuja na prosesa za Intel.
Xiaomi Redmi 8A ni moja ya simu ya kuvutia na yenye ubora mzuri kutoka kwa kampuni ya Xiaomi.
Nokia Mobile wametambulisha simu mpya mbili wiki hii, nazo ni Nokia 6300 4G na Nokia 8000 4G. Hizi ni simu mpya ambazo bado zinatuletea yale maumbo ya simu zilizofanya vizuri sana miaka ya nyuma kutoka Nokia.
Simu ya Tecno Camon 16s ipo njiani kuingia sokoni. Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO inatarajia kuzindua simu mpya ya TECNO CAMON 16s muda wowote kuanzia sasa.
Kampuni ya utengenezaji wa simu janja ya OnePlus wameweza kuzindua simu janja mbili za bei ya kati, Kampuni hiyo imezindua simu janja toleo la Nord N10 5G na Nord N100.
Simu ya Samsung Galaxy A2 Core ni simu ya bei nafuu kutoka kampuni ya Samsung. Ni yenye umbo la wastani kwa ukubwa wa inchi 5.
Kampuni ya Infinix inafahamika kwa matoleo ya bei ya chini yenye kiwango kizuri cha ubora, na simu yao ya Infinix Smart 4 inadhihirisha hilo. Ni simu nzuri, hasa kwa bei ya chini yenye mfumo endeshi wa Android, betri nzuri na camera nzuri pia.
Simu ya Nokia C1 kutoka kampuni ya Nokia ni simu yenye muonekano mzuri na yenye kufaa kwa bei ya chini kabisa. Simu hii inakuja na mfumo endeshi wa Android uliorahisishwa (Android Go)