Google Waachana Na Tundu La ‘EarPhone’ Kuanzia Toleo La Pixel 6A!
Google Pixel ni simu janja nzuri sana na zinasifika sana katika katika swala zima la picha na hata utendaji wake wa kazi.
Google Pixel ni simu janja nzuri sana na zinasifika sana katika katika swala zima la picha na hata utendaji wake wa kazi.
Sasa hivi simu janja za kujikunja ni nyingi mno na kwa sasa teknolojia hii kwa kiasi kikubwa imeanza kuzoeleka.
Imekuwa kama desturi ya makampuni mengi kutoa simu janja ambazo zinakuwa zina jina moja huku zitofautiana aidha kwa namba au kwa vivumishi fulani fulani. Samsung mi moja ya makampuni hayo ambapo wapo mbioni kutoa Galaxy F13.
Samsung Galaxy A51 imekuwa simu janja ya kwanza kufanana na iPhone na hii imefanya rununu (Galaxy A51) kuwa na upekee wa aina yake. Je, unajua ni upi huo?
Simu janja nyingi ambazo zinatengenzwa katika mika ya karibuni wanaziongezea sifa kwa kuzifanya kuwa na uwezo wa “Kufungua kwa uso” ingawa mambo ni tofauti kwa simu janja Google Pixel 6 na Pixel 6 Pro.
App Store ya Urusi imepoteza programu 6,982 za simu janja tangu kuanza kwa uvamizi wa Ukraine, kwani kampuni nyingi sasa zimeondoa programu na magemu yao kutoka App Store ya Apple nchini humo, kulingana na data iliyoshirikiwa na TechCrunch na kampuni ya kijasusi ya Sensor Tower.
Samsung ilithibitisha Jumatatu kwamba baadhi ya data zake ziliibiwa kama sehemu ya shambulio la mtandao ambalo liliripotiwa kwa mara ya kwanza mwishoni mwa wiki. Katika taarifa kwa Bloomberg, kampuni kubwa ya vifaa vya elektroniki ya Korea ilifichua kwamba ukiukaji wa usalama ulisababisha “baadhi ya source code (msimbo) zinazohusiana na uendeshaji wa vifaa vya Galaxy”.
Kwnye dunia ya leo makampuni mengi ambayo yapo kwenye ushindani yanapambana kuweza kuja na bidhaa ambazo zitavutia wateja wengi. Hivi nikuulize unajisikiaje ukiwa na chaji ambayo inajaza betri ndani ya robo saa tu?
BlackBerry ni jina lenye hishima kubwa na na kampuni mbili hadi sasa kwa nyakati tofauti zimeshainunua na kutaka kutoa bidhaa mpya ambazo zinabeba jina hilo lakini zimekuwepo changamoto nyingi ambazo zimesababisha mipango ya ujio mpya kutokwenda sawia.
WhatsApp sasa hukuruhusu kuficha chats kabisa kwa kuziweka kwenye kumbukumbu, hata kama ujumbe mpya utaingia kwenye mazungumzo hayo. Kipengele hiki kutoka kwa kampuni ya utumaji ujumbe inayomilikiwa na Meta ni njia nzuri ya kuzima mazungumzo yasiyotakiwa, na kuyazuia yasionekane katika orodha yako kuu ya chats. Folda ya Kumbukumbu kimsingi inaruhusu watumiaji kupuuza kikundi au mtu…
Mwaka huu Xiaomi 12 Ultra itatoka na simu hii inaonekana isiwe tofauti sana ile iliyotoka nyuma yake kwa maeneo mbalimbali yanayopendwa na watu.
Motorola wapo njiani kuja na simu janja mpya ambayo inaonekana kuna nguvu nyingi zimewekezwa kuhakikisha kuwa kamera ya rununu husika inakuwa ni yenye ubora wa kuvutia.
Mauzo ya simu janja nchini Uchina katika robo ya nne ya mwaka 2021 yameshuka kwa asilimia 11 lakini hilo halijafanya Honor kushindwa kushika nafasi ya pili tangu itoke chini ya mwamvuli wa Huawei.
Twitter inapanua ufikiaji wa Hali yake ya Usalama kwa kuleta beta kwa takriban asilimia 50 ya akaunti nchini Marekani, Uingereza, Kanada, Australia, Ireland na New Zealand. Kampuni ilianza kujaribu kipengele hicho Septemba na idadi ndogo ya watu. Inapanua toleo la beta katika nchi za ziada zinazozungumza Kiingereza ili kupata maarifa zaidi na kutafuta njia za…
Instagram ya Meta inatambulisha njia mpya ya watu kuingiliana na Hadithi. Kuanzia leo, unaweza kutuma like kwa faragha mtu anaposhiriki picha au video inayovutia macho yako. Hapo awali, njia pekee ya kujibu Hadithi ilikuwa kutuma mtayarishi ujumbe wa moja kwa moja au hisia ya emoji. Kwa vyovyote vile, jibu lako lingeonekana katika kisanduku pokezi cha…
Kwenye ulingo wa simu janja ambazo zina uwezo mkubwa kwa maana ya kuweza kuhimili magemu mazito mojawapo ni Lenovo Legion Y90 ambayo tarehe ambayo rununu hiyo itanzinduliwa imeshafahamika.
Nokia G11 ni simu janja iliyozinduliwa lakini haikuwa na shamrashamra za matangazo kuhusiana na uzinduzi wake na badala yake watu walishangaa kuikuta kwenye tovuti ya Nokia kama bidhaa yao mpya.
Kwa miaka kadhaa sasa simu janja za Nokia zimekuwa kwenye ulingo wa ushindani na makampuni mengine ambayo nayo yanatoa rununu zinazovutia na zinazoendana na teknolojia ya kusasa. Nokia G21 imezinduliwa leo ikiwa imeboreshwa maeneo mbalimbali.
Mdundo, huduma ya utiririshaji muziki inayolenga Afrika, inaweka benki kwenye ushirikiano zaidi na telcos katika bara zima ili kukuza mapato yake na msingi wa watumiaji. Mwaka jana, kampuni hiyo ilitia saini mikataba na MTN na Airtel nchini Nigeria, na Vodacom nchini Tanzania, ambayo inaonekana kuwa na faida baada ya watumiaji wake karibu kuongezeka maradufu kwani…