Tecno Camon 16s ipo Njiani Kuingia Sokoni Hivi Karibuni
Simu ya Tecno Camon 16s ipo njiani kuingia sokoni. Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO inatarajia kuzindua simu mpya ya TECNO CAMON 16s muda wowote kuanzia sasa.
Simu ya Tecno Camon 16s ipo njiani kuingia sokoni. Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO inatarajia kuzindua simu mpya ya TECNO CAMON 16s muda wowote kuanzia sasa.
Huawei wamekuwa kazini kwa miezi kadhaa wakitengeneza programu endeshaji ya ziada dhidi ya Android. Na sasa ni rasmi programu endeshaji ya Harmony OS itakuwa tayari kwa ajili ya kutumika kwenye simu kufikia Disemba mwaka huu.
Kampuni ya utengenezaji wa simu janja ya OnePlus wameweza kuzindua simu janja mbili za bei ya kati, Kampuni hiyo imezindua simu janja toleo la Nord N10 5G na Nord N100.
Kampuni ya Tecno kutoa zawadi kwa watakaoilipia simu ya Tecno Camon 16s mapema, yaani kufanya ‘pre-order. Simu ya Tecno Camon 16s inatarajiwa kuanza kupatikana sokoni hivi karibuni.
Simu ya Samsung Galaxy A2 Core ni simu ya bei nafuu kutoka kampuni ya Samsung. Ni yenye umbo la wastani kwa ukubwa wa inchi 5.
Kampuni ya Infinix inafahamika kwa matoleo ya bei ya chini yenye kiwango kizuri cha ubora, na simu yao ya Infinix Smart 4 inadhihirisha hilo. Ni simu nzuri, hasa kwa bei ya chini yenye mfumo endeshi wa Android, betri nzuri na camera nzuri pia.
Simu ya Nokia C1 kutoka kampuni ya Nokia ni simu yenye muonekano mzuri na yenye kufaa kwa bei ya chini kabisa. Simu hii inakuja na mfumo endeshi wa Android uliorahisishwa (Android Go)
Simu ya Huawei Y5 Prime toleo la 2018 ni moja ya simu ya bei nafuu kutoka kwa kampuni ya Huawei. Huawei kwa sasa bado wako katika kifungo cha matumizi ya huduma za Google (Google Play Services), app na huduma zingine nyingi za makampuni ya Ulaya na Marekani lakini kwa simu hii bado hali ni tofauti.
Je ni vitu gani ambavyo unatakiwa kutofanya kwenye simu yako kwa usalama na utunzaji wa simu yako? Tunatumia wakati mwingi sana kutumia simu janja zetu. Na tunapenda na kutamani kuziweka salama kadri tunavyokua tunazitumia. Lakini bila kukusudia tunafanya makosa kadhaa madogo ambayo hatupaswi kamwe kufanya na simu janja zetu.
Kwenye kununua simu swali kubwa linalosumbua watu wengi ni “Je, ninaweza kununua simu gani?”. Ila mara nyingi suala la simu ya kununua linahusisha ufahamu wa bei au bajeti yako kwanza.
Huawei wazidi kuporomoka kimauzo katika soko la uuzaji simu duniani. Data zinaonesha Samsung wakizidi kulishika soko huku Huawei mambo yakienda tofauti kwao.
Apple watambulisha simu mpya za iPhone 12 na 12 Pro, simu ambazo zinakuja na mabadiliko makubwa katika ubunifu na teknolojia uliofanywa na Apple ukilinganisha na matoleo ya iPhone zilizopita.
Samsung wameendelea kutoa simu janja ambapo mwezi Machi 2020 ilitoka Galaxy A41 lakini Septemba mwaka huu wakaona inafaa kuzindua toleo linalofuata ambalo kimsingi lina memori kubwa, kamera zenye ubora zaidi pamoja na mambo mengineyo.
Soko la simu limekuwa limekuwa na ushindani mkubwa na kupelekea makampuni ya simu kuja na mbinu mpya za kujizolea wateja. Tukiongelea makampuni pendwa ya simu Afrika hatuezi kuacha kuipongeza kampuni ya simu ya TECNO.
Usitarajie kuona OnePlus 8T Pro iliyotangazwa kando ya kiwango cha OnePlus 8T mwezi ujao. Mkurugenzi Mtendaji wa OnePlus, Bw. Pete Lau alithibitisha habari hiyo kupitia barua kwenye Weibo, ambayo alisema mtu yeyote anayetafuta toleo la Pro chini ya 8T anaweza kuendelea kununua OnePlus 8 Pro iliyotoka mapema mwaka huu.
Wengi wetu na dunia nzima kwa ujumla inafahamu kuwa tayari Android 11 imeshatoka na simu janja mbalimbali zimeshaanza kufahamika ni lini zitapata taarifa fupi ya kuweza kupakua toleo jipya la programu endeshi na pengine watumiaji wa rununu (Nokia) walikuwa wanajiuliza pia.
Kutokana na sababu mbalimbali unaweza ukawa unabadilisha simu janja mara mbili hadi tatu kwa mwaka mzima na si suala la kufichika kuwa ushindani kwenye biashara ya vitu vya kidijiti ni mkubwa sana.
Simu janja za Sony Xperia zina umaarufu wake kwa miaka mingi tuu ndani na nje ya Afrika na mwaka huu karibu na mwisho wa robo ya pili kwa 2020 wakaona ni vyema wakatoa Xperia 8 Lite.
Moja kati ya simu ambazo ni ghali mpaka hivi leo tangu kutoka kwake basi iPhone XS Max na hili pengine linasababishwa na vilivyomo kwenye rununu lakini inajulikana bidhaa za Apple bei zake huwa zipo juu.
Simu za Tecno Spark zimekuwa kwenye midomo ya watu kutokana na sababu mbalimbali lakini hasa kwa kuziboresha kwa kuwa na muonekano wa kiushindani bila kusahau nguvu ya betri inayowekwa.