Sifa za ndani kuhusu Samsung Galaxy M62
Samsung ina wateja wengi tuu duniani kote na hii inatokana na ubora wa bidhaa zao mbalimbali bila kusahau zile ambazo zinarahisisha mawasiliano katika ulimwengu huu uliotawaliwa na teknolojia.
Samsung ina wateja wengi tuu duniani kote na hii inatokana na ubora wa bidhaa zao mbalimbali bila kusahau zile ambazo zinarahisisha mawasiliano katika ulimwengu huu uliotawaliwa na teknolojia.
Tuliandika kuhusu ujio wa simu za Samsung Galaxy S21, S21 Plus na S21 Ultra siku chache nyuma, sasa hizi ndio bei zake rasmi kupitia mtandao wa Tigo Tanzania. Tunategemea hazitapishana sana na bei rasmi.
Xiaomi ni kampuni ya kiteknolojia yenye makao makuu yake nchini Uchina. Inajihusisha na vitu vingi kama Simu za mkononi, vifaa vya nyumbani kama runinga, huduma za uhifadhi wa kimtandao na kadhalika.
Simu ya Samsung Galaxy A21s ni mojawapo ya matoleo ya chini ya kampuni ya Samsung.
Kampuni ya Oppo ni kampuni toka nchini Uchina inayokuja kwa namna nzuri katika nyanja ya simu janja duniani.
Kwa sasa zile ambazo tunaziona au tuliziona kama ni za ajabu kabisa ni zile simu janja za kukunja (foldable phones), hizi ambazo zitakuja na ‘display’ mpapa kwenye eneo la nyuma la simu janja zinaweza kutuacha midomo wazi pia.
Kampuni ya Tecno inasifika kwa kutoa simu zenye thamani nzuri kwa pesa ya mnunuaji, zikiwa na faida kubwa kama kukaa na chaji kwa muda mrefu wa matumizi na pia kamera zenye ubora mzuri kwa matumizi mbalimbali ya upigaji picha. Simu hii ya Tecno Camon 15 inaendelea kuwa katika sifa hiyo ya thamani nzuri.
LG kuacha kutengeneza simu janja – hiyo ni moja habari nzito katika wiki hii. LG ikiwa moja ya makampuni nguli kwenye teknolojia na moja ya makampuni ya kwanza kabisa kuanza kutengeneza simu janja zinazotumia Android.
Je umeshaanza kugundua ya kwamba kuna simu nyingi siku hizi ata zinazotoka makampuni tofauti ya simu zinafanana muonekano? Je sababu ni nini?
Simu ya Samsung Galaxy M02s imeanza kupatikana rasmi nchini India na inategemewa kuanza kupatikana katika mataifa mengine kote.
Kwa kufungua mwaka 2021 Samsung waleta simu mpya za kuvutia zinazobeba majina ya Sumsang Galaxy S21, S21 Plus na S21 Ultra.
Tecno Spark 5 ni mojawapo kati ya simu toka kampuni ya Tecno ambayo ina thamani nzuri kwa gharama yake ya manunuzi.
Baada ya kufanikiwa kuliteka na kulimiliki soko kwa takribani muongo mmoja ghafla taratibu mauzo yanapungua na kuanguka kabisa sokoni. Inashangaza na kushtua kidogo kuona kampuni kubwa ya simu ya Nokia iliyojizolea umaarufu mkubwa sana duniani ikitapatapa walau kupata asilimia ndogo tu yaani angalau asilimia moja ya sehemu ya soko la simu janja duniani!.
Apple wamekua wakijiongeza katika bidhaa zao za iPhone tofauti na makampuni mengine makubwa ambayo yapo katika soko la kutengeneza na kuuza simu.
Maswali yanaweza yakawa ni mengi sana juu ya simu yako ya zamani wakati ukiwa umepata simu mpya sio? .. wengi huwa wanafikiria kugawa na wengine kuuza simu hizo. Hakuna chaguo sahihi na chagua ambalo sio sahihi kwani itategemea na matakwa ya mmiliki wa kifaa hicho.
Kampuni ya Nokia yenye makao makuu yake nchini Finland kwa wakati huu inatoa simu ambazo zinatumia mfumo endeshi wa Android. Hii ni baada ya kampuni hio kuachana na mfumo endeshi wa Windows.
Infinix Note 7 ni simu ambayo inadhidi kulinyanyua jina la simu za Infinix katika ubora – wa muonekano na wa kiteknolojia. Infinix Note 7 ni simu mpya kutoka Infinix iliyoanza kupatikana Julai mwaka 2020.
Biashara ya utengenezaji na uuzaji wa simu za Honor imeuzwa na kampuni ya Huawei. Kuanzia sasa simu zinazobeba jina hilo hazitatengenezwa wala kuuzwa na kampuni ya Huawei.
Xiaomi Redmi 8A ni moja ya simu ya kuvutia na yenye ubora mzuri kutoka kwa kampuni ya Xiaomi.
Nokia Mobile wametambulisha simu mpya mbili wiki hii, nazo ni Nokia 6300 4G na Nokia 8000 4G. Hizi ni simu mpya ambazo bado zinatuletea yale maumbo ya simu zilizofanya vizuri sana miaka ya nyuma kutoka Nokia.