Huawei wamekuwa kazini kwa miezi kadhaa wakitengeneza programu endeshaji ya ziada dhidi ya Android. Na sasa ni rasmi programu endeshaji ya Harmony OS itakuwa...
Kampuni ya Tecno kutoa zawadi kwa watakaoilipia simu ya Tecno Camon 16s mapema, yaani kufanya ‘pre-order. Simu ya Tecno Camon 16s inatarajiwa kuanza kupatikana...
Kwenye kununua simu swali kubwa linalosumbua watu wengi ni “Je, ninaweza kununua simu gani?”. Ila mara nyingi suala la simu ya kununua linahusisha ufahamu...
Huawei wazidi kuporomoka kimauzo katika soko la uuzaji simu duniani. Data zinaonesha Samsung wakizidi kulishika soko huku Huawei mambo yakienda tofauti kwao.
Apple watambulisha simu mpya za iPhone 12 na 12 Pro, simu ambazo zinakuja na mabadiliko makubwa katika ubunifu na teknolojia uliofanywa na Apple ukilinganisha...
Samsung wameendelea kutoa simu janja ambapo mwezi Machi 2020 ilitoka Galaxy A41 lakini Septemba mwaka huu wakaona inafaa kuzindua toleo linalofuata ambalo kimsingi lina...