fbpx

Kuhusu Sisi Wapenda Teknolojia

Kona ya Teknolojia ni blog yenye umri mrefu zaidi katika historia ya blog za teknolojia kwa lugha ya kiswahili nchini Tanzania na Afrika Mashariki.

Tunahakikisha unapata habari mpya za masuala ya kiteknolojia pamoja na kukuelimisha kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu utumiaji wa vifaa vya kiteknolojia. 

  • Septemba, 2011 – Uanzishwaji wa blogu
  • 2015 – Uanzishwaji wa kampuni mama, Teknokona Group – www.teknokonagroup.com
  • 2023 – Uanzishwaji wa huduma ya msaada wa kiteknolojia kwa watu binafsi na makampuni – www.techmsaada.com

Kwa maoni na mawasiliano mengine usisite kutuandikia mhariri(at)teknokona.co.tz

Fahamu habari mpya

Pata taarifa kuhusu makala mpya na mengineyo

Mada moto moto

kutoa betri kwenye simujanja
381 Posts
519 Posts
Namna ya kupata picha nzuri kwa kutumia Simu yako
1169 Posts
Apps
984 Posts

Mambo 👋 Tutafurahi ukijiunga nasi.

Jisajili ili uweze kupokea taarifa za habari mpya kila wiki.

Tunakutumia taarifa na habari za Kona ya Teknolojia na TechMsaada pekee.

TeknoKona Teknolojia Tanzania