Tumeshaandika kuhusiana na huduma za Microsoft Office, hasa kama unataka kutumia huduma hiyo bure kwa kutumia mtandao, kama ulipitwa soma hapa. Sasa kama unataka...
‘Mouse’ ni kitu cha msingi sana katika Kompyuta, lakini kazi nyingi za kompyuta hata simu janja zinafanya siku hizi. Kama kawaida yetu TeknoKona huwa...
Hivi katika pita pita zako katika mitandao ya kijamii haujawahi kukutana na maneno ambayo yamegeuka yaani yanaonekana kama yamepinduka hivi (chini juu).
Tafiti nyingi zimefanyika na ukweli umegundulika ni kwamba wengi wetu tumepata na uraibu (addiction) juu ya simu janja zetu pengine kuliko vitu vingine.
Pale vifaa vyetu vinavyokuwa vimeishiwa na bando (MB/GB) WiFi huwa ndio kimbilio letu. WiFi hii ndio hutuwezesha kufanya mambo mbalimbali katika vifaa vyetu kwa...
Mara nyingi huwa tunaburudika wakati tunaangalia video katika mtandao wa Youtube. Video zingine zinatupendeza sana kiasi cha kwamba tunatamani kuziangalia mara kwa mara.
Mara nyingi tunashindwa kusnapchat baadhi ya matukio katika mtandao wa kijamii wa Snapchat kwasababu tu katika kundi la marafiki kuna mtu hautaki aone unachopost.
Je unatumia simu ya android ambayo imekuwa slow sana kiasi kwamba inakukwamisha kuifurahia? makala hii itakupatia baadhi ya njia ambazo zitakusaidia kuiongezea kasi simu...
Yapo mambo mengi ambayo yanachangia saana simu yako iwahi kuisha chaji, makala hii inalenga kukusaidia kuyajua mambo muhimu zaid ambayo kwa namna moja ama...