Mdukuzi adukua mfumo wa maji na kutaka kuongeza Kemikali kwenye maji
Mdukuzi mmoja Marekani adukua mfumo wa maji wa jiji la Oldsmar kwenye jimbo la Florida na kutaka kuongeza kiwango cha kemikali kwenye maji hayo ili kuyafanya kuwa hatari kwa afya ya binadamu.