Tigo na Zantel Tanzania kumilikiwa na Axian Group
Tigo na Zantel Tanzania ni kampuni za mawasiliano ambazo zimekuwa zikifanya kazi kwa miaka mingi tuu na kuweza kufikia wateja mijini na vijijini lakini pia visiwani Zanzibar.
Tigo na Zantel Tanzania ni kampuni za mawasiliano ambazo zimekuwa zikifanya kazi kwa miaka mingi tuu na kuweza kufikia wateja mijini na vijijini lakini pia visiwani Zanzibar.
Mara kadhaa kwenye makala zangu nimekuwa nikisema Xiaomi Corporation ni kampuni ambayo inakuwa kwa kasi sana na hii inadhihirika kwa bidhaa zake ambazo tayari zimeshaingia sokoni kama Mi 11 Ultra lakini hata zile ambazo zimeshazinduliwa tu bila kusahau zilizopo “Jikoni”.
Xiaomi Redmi 9A ni simu janja ambayo hivi karibuni tuu ilitokea kwenye orodha ya rununu ambazo zilifanya vizuri kimauzo mwezi Januari 2021. Je, unafahamu sifa zake?
Wengi wetu tunaotumia WhatsApp tunaweza kuwa tunafahamu kipengele kinachowezesha ujumbe alioutuma kwenda kwa mtu/ndani ya kikundi kufutika baada ya muda fulani kupita hii ikihusisha Android na iOS.
Programu tumishi-Instagram kwa mara nyingine tena inaongezewa kipengele kinachoficha idadi ya watu waliotokea kupenda chapisho aliloliweka.
Kitu chocohote kile kizuri unachokifanya halafu ikatokea ukapongezwa kwa namna yoyote ile hakika inaletaa furaha na hamaasa ya kuendelea kufanya vizuri zaidi ndivyo hivyo Samsung wamefanikiwa kunyakua jumla ya tuzo 71 za iF Design Awards mwaka 2021.
Mpaka sasa dunia nzima inajua kuwa LG itaachana na biashara ya simu janja mwishoni mwa mwezi Julai mwaka huu. Mbali na hilo ni wazi kuwa LG ina wateja wengi sehemu nyingi duniani na ni vyema wakafahamu kuwa simu janja zao zipo kwenye mpango wa kupata masasisho ya Android 11, 12 na 13.
Tulio wengi duniani kote tunatumia WhatsApp ambayo mpaka hivi sasa ina zaidi ya watumiaji zaidi ya bilioni 2 lakini waswahili husema “Kizuri hakikosi kasoro”. Ndio, udhaifu wabainika kwenye WhatsApp.
Kuna simu janja nyingi zipo sokoni na kila siku zinauzika kutokana na kile ambacho watu wanahitaji ili kuweza kubadilisha rununu moja kwenda nyingine. Simu janja za Apple zimekuwa kinara kwenye mauzo ya mwezi Januari; rununu 6/10 ni za Apple.
Zilikuwepo habari za chini chini kuhusiana na mpango wa Pixel 5a 5G kutozinduliwa lakini habari hiyo imekanushwa vikali na Google wenyewe na ukweli ni kwamba itatoka mwaka huu.
TCRA ilisitisha kwa muda suala la usajili wa leseni za maudhui mtandaoni tangu Januari 28 ili kuboresha vitu fulani fulani lakini sasa wameanza tena kupokea maombi.
Ukiwa ni mtu unayependa kununua kitu kizuri hasa kwa kutaka kuchagua simu janja kwa jicho la karibu zaidi inawezekana kabisa ukapata wakati mgumu wa kutaka kuchukua simu ipi hasa hizi ambazo zinatumia Android.
Moja ya simu ambazo zipo kwenye vinywa vya watu (zinazungumzwa kwa wingi) ni Samsung Galaxy F12 na F02s ambazo zimetoka kwa mkupuo tayari kwa kupata wateja lukuki duniani kote.
Unafahamu kuwa Facebook, WhatsApp na Intagram zilikumbwa na tatizo la muda lililosababisha mawasiliano kuwa magumu? Wengi walipata changamoto duniani kote.
Duniani kote wanafahamu kuwa LG inajiandaa kufungasha virago kwenye biashara inayohusisha simu janja lakini jambo hilo si la kufurahisha hasa kwa wale ambao wanazipenda rununu za kampuni hiyo. Umuhimu wa masasisho ya Android ndio inawasukuma LG kuendeleza huduma hiyo ingawa itakuwa ni kwa baadhi ya simu janja.
Kutumia toleo la karibuni kabisa linalohusisha programu endeshi au masasisho mengine yanayotolewa kwa maana ya kukifanya kifaa kiwe salama zaidi si jambo la kupuuzia hata kidogo na hii ni wa watumiaji wa Android halikadhalika iOS.
Moja kati ya simu janja ambazo hazina siku nyingi kuzinduliwa na sifa zake kujulikana kinagaubaga ni Tecno Spark 7 ambapo zina wateja wengi hasa barani Afrika.
Habari hii ianayohusu LG kuachana na biashara ya simu janja inaweza kuwa ni ya kuhuzunisha hasa kwa wale wateja ambao wamekuwa wakivutia na bidhaa hizo kwa miaka mingi tuu lakini wenyewe wameona inatosha sasa.
Watumiaji wa simu janja za kiganjani/vifaa vya kidijiti vinavyotumia mfumo endeshi wa Android ni wengi na wanazidi kuongezeka kila siku lakini malalamiko mbalimbali yanayohusu usalama, faragha kwenye simu janja yamekuwa ni kilio cha wengi duniani kote kitu ambacho kinasabisha mabadiliko ya sera mara kwa mara.
Hivi leo ukimuuliza Mtanzania anayetumia simu ya mkononi kitu ambacho kinamuumiza roho kwa walio wengi ni gharama mpya za mawasiliano (hususani vifurushi vya intaneti) ambazo zimeanza kutumia rasmi Aprili, 2 2021 kufuatia mabadiliko madogo ya kanuni kwa kampuni za simu zilizotolewa na TCRA wiki chache zilizopita.