Uwezo wa kuficha idadi ya watu waliopenda kitu kwenye Instagram
Programu tumishi-Instagram kwa mara nyingine tena inaongezewa kipengele kinachoficha idadi ya watu waliotokea kupenda chapisho aliloliweka.
Programu tumishi-Instagram kwa mara nyingine tena inaongezewa kipengele kinachoficha idadi ya watu waliotokea kupenda chapisho aliloliweka.
Unafahamu kuwa Facebook, WhatsApp na Intagram zilikumbwa na tatizo la muda lililosababisha mawasiliano kuwa magumu? Wengi walipata changamoto duniani kote.
Instagram watambulisha Instagram Live Rooms, uwezo wa hadi watu wanne kufanya mazungumzo ya mubashara.
Instagram yamfungia ndugu wa aliyekuwa Rais wa Marekani, John F Kennedy kutokana na kusambaza taarifa zisizokuwa sahihi kuhusu maambukizi ya Covid-19.
Akaunti zinazotukana wanamichezo kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram kuchukuliwa hatua hii ikiwa ni pamoja na kufungiwa.
Katika ulimwengu wa vile picha za mnato ambazo ni fupifupi ndani ya Instagram unaweza kuzifyatua kupitia Reels ambayo imekuwa mshindani wa karibu kwa TikTok.
Kuna mengi ambayo yanachapushwa kwenye mitandao ya kijamii ambayo yanaweza kuwa hasi au chanya kulingana na maudhui, jinsi kilivyopokelewa; kusababisha fedheha ama furaha na pengine hata kufikiria kuficha maoni.
Facebook waunganisha uwezo wa kuchati Instagram na Facebook. Mara ya kwanza tuliandika kuhusu mpango wa Facebook kuunganisha uwezo wa kuchati na apps zingine za Instagram na WhatsApp mapema mwaka jana. Inaonekana tayari hatua za kuwezesha hilo zimefanikiwa.
Kwa muda mrefu tovuti ya kijamii ya Facebook imekuwa ikizuia matangazo yanayolenga kutumika Facebook au Instagram kama yatakuwa na maneno mengi kwenye picha.
Watumiaji wengi wa simu janja duniani kote mitandao ya kijamii ambayo ina watumiaji wengi wa kila siku inajumuisha Facebook, Instagram na nyinginezo ni WhatsApp, Twitter lakini sasa mtandao mkubwa wa kijamii umelalamikiwa!.
Kama ni mtu ambae unatumia simu ya Android na unakuwa makini sana kuhusu suala zima la programu tumishi za kuwa nazo kwenye rununu basi si ajabu ile mitandao ya kijamii mikubwa ukawa unatumia ya toleo la “Lite“.
Facebook ndio inayomiliki mitandao ya kijamii pendwa halikadhalika WhatsApp. Pasi na shaka ni mitandao ya kijamii yenye watumiaji wengi zaidi na sasa kuna kitu kizuri ambacho kimeongezwa kwenye Instagram.
Katika ulimwengu wa “Kileo” watu wengi duniani wana akaunti Instagram ambayo imekuwa kivutio cha cha watu duniani kote na hata kusababisha uraibu. Sasa wamezindua “Reels“.
Kwa muda mrefu watu wametaka uwezo wa kutuma na kupokea meseji kwenye Instagram web, yaani moja kwa moja kwenye tovuti ya Instagram.
Nyota wa klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo, ametakiwa kukodisha akaunti yake ya mtandao wa Instagram kwa dau nono kwa muda wa mwaka mmoja.
Kama unamfuatilia kisiri mtu kwenye app ya Instagram basi fahamu mabadiliko yanayokuja kwenye app hiyo yatazidi kuifanya kazi hiyo kuwa ngumu.
Apps za WhatsApp na Instagram ambazo zinamilikiwa na kampuni ya Facebook, zipo njiani kufanyiwa mabadiliko ya majina.
Hadi sasa kama ni mtu wa mitandao ya kijamii basi utakuwa umekwishaona taarifa ya kwamba apps za WhatsApp, Facebook na Instagram zapata shida inayosababisha mamilioni ya watumiaji wake kushindwa kupata huduma iliyo bora kwa sasa.
Instagram Direct imekuwa ikiambatanishwa kwenye app ya Instagram lakini pia kumekuwa na mjaribio ya kuigeuza kuwa app ya kujitegemea. Tayari Facebook waliingiza app ya kujitegemea kwenye takribani nchi 6.