Tatizo la muda kwa Facebook, WhatsApp na Instagram
Unafahamu kuwa Facebook, WhatsApp na Intagram zilikumbwa na tatizo la muda lililosababisha mawasiliano kuwa magumu? Wengi walipata changamoto duniani kote.
Kuhusu mtandao wa Facebook na teknolojia zake
Unafahamu kuwa Facebook, WhatsApp na Intagram zilikumbwa na tatizo la muda lililosababisha mawasiliano kuwa magumu? Wengi walipata changamoto duniani kote.
Facebook kuwapa watumiaji uwezo wa kuchagua zaidi kile ambacho kinatokea eneo la nyumbani la huduma hiyo, yaani Timeline. Sehemu inayokupa taarifa ya yanayojiri kutoka kwa marafiki, makundi na kurusa unazofuatilia.
Machapisho ya kisiasa Facebook yanataanza kuonekana mara chache zaidi kwenye utumiaji wa kawaida wa mtandao huo wa kijamii.
Instagram yamfungia ndugu wa aliyekuwa Rais wa Marekani, John F Kennedy kutokana na kusambaza taarifa zisizokuwa sahihi kuhusu maambukizi ya Covid-19.
Facebook waanza kuomba data za watumiaji wa iPhone baada ya Apple kuanza kuweka ulinzi mpya wa data za watumiaji wa simu za iPhone katika toleo la iOS 14.
Kuna ugomvi mkubwa kwa sasa kati ya Apple dhidi ya Facebook kwenye masuala ya usalama wa data za watumiaji simu. Kampuni ya Apple imesema inafanyia kazi kuwezesha watumiaji wa simu na tableti zake kuwa na uwezo wa kuchagua kutoruhusu apps kama za Facebook kufuatilia utumiaji wao wa simu na data zao zingine binafsi zinazotumiwa na…
Data za WhatsApp kupitia Facebook, hilo ndilo badiliko jipya ambalo linatokea kwa watumiaji wote wa app ya WhatsApp duniani kote. Ni badiliko kubwa kwani kabla app hiyo ilikuwa haikusanyi data kwa kiwango hicho.
Kwa muda mrefu toleo la WhatsApp for Business, toleo rasmi la WhatsApp kwa ajili ya makampuni na biashara lilikuwa linapatikana na hakukuwa na mfumo wowote wa kuilipia huduma hiyo ila sasa maboresho kadhaa yanakuja pamoja na kuanzisha huduma zitakazohitaji malipo ili kuweza kuzitumia.
Facebook waunganisha uwezo wa kuchati Instagram na Facebook. Mara ya kwanza tuliandika kuhusu mpango wa Facebook kuunganisha uwezo wa kuchati na apps zingine za Instagram na WhatsApp mapema mwaka jana. Inaonekana tayari hatua za kuwezesha hilo zimefanikiwa.
Kwa muda mrefu tovuti ya kijamii ya Facebook imekuwa ikizuia matangazo yanayolenga kutumika Facebook au Instagram kama yatakuwa na maneno mengi kwenye picha.
Watumiaji wengi wa simu janja duniani kote mitandao ya kijamii ambayo ina watumiaji wengi wa kila siku inajumuisha Facebook, Instagram na nyinginezo ni WhatsApp, Twitter lakini sasa mtandao mkubwa wa kijamii umelalamikiwa!.
Katika maisha ya kidijitali kuna vitu vingi tuu ambavyo vinaweza kuwa mkombozi kwa mtu mmoja mmoja au kundi la watu kwa kuwawezesha kupata kipato na moja ya njia hizo ni kwa kutumia matamasha ya Facebook.
Mambo mengi hivi sasa ni kama hayapo vile lakini kumbe athari zake bado zipo palepale na hii inatokana na dunia kuweka nguvu zaidi kwenye mapambano dhidi ya Virusi vya Corona ambapo nchi nyingi tuu ulimwenguni suala zima la kupunguza maambukizi ni kitendawili ambacho bado hakijateguliwa.
Facebook ndio inayomiliki mitandao ya kijamii pendwa halikadhalika WhatsApp. Pasi na shaka ni mitandao ya kijamii yenye watumiaji wengi zaidi na sasa kuna kitu kizuri ambacho kimeongezwa kwenye Instagram.
Huduma ya utumaji pesa ndani ya app ya WhatsApp yaanza kupatikana nchini Brazili.
Kwenye dunia iliyotawaliwa na utandawazi kwa kiasi kikubwa kwebye mataifa mengi hakika kuna mengi yanatokea kutoka kila pembe ya ulimwengu na hivi kuna mitandao ya kijamii basi imekuwa ni rahisi kufahamu mengi; yawe ya ukweli au uwongo vyote vinapatikana lakini umesikia kuhusu uwezo wa kufunga wasifu?.
Facebook imenunua kampuni maarufu ya kutengeneza picha zinazojongea maarufu kama GIF. Kampuni hiyo inakwenda kwa jina la Giphy.
Nianze na swali, ni kwa kiasi gani kipindi hiki unawasiliana na ndugu, jamaa na marafiki? Si ajabu ukafurahishwa na hili kwa kitendo cha Facebook kuweka Messenger rooms ndani ya WhatsApp.
Kwa muda mrefu Facebook waliweza baridi muenekano wa mtandao wao kwa watumiaji wa tovuti hiyo kupitia app ya simu, na sasa watumiaji wa kompyuta wakumbukwa.
Facebook na WhatsApp ni mitandao ya kijamii ambayo ni mikubwa na yenye majina makubwa sana duniani. Ikumbukwe kuwa FB ndio inaimiliki WhatsApp baada ya kuinunua miaka kadhaa iliyopita.