apps, Teknolojia, Uchambuzi, whatsapp
Whatsapp Plus ni nini? – Vitu Unavyotakiwa Kujua
Whatsapp Plus ni programu isiyo rasmi ambayo inaruhusu watumiaji kuungana na kila mmoja kwa njia za hali ya juu zaidi.
Kompyuta, Maujanja, YouTube
Tazama Video ya YouTube iliyo na Kizuizi cha Umri bila kulogin. #Maujanja
Je umejaribu kuangalia video ya YouTube iliyo na kizuizi cha umri na ukaambiwa ni lazima ulogin kwanza kwenye YouTube kwa ajili ya kuhakikisha umri?...
apps, Maujanja, Usalama, whatsapp
Ujumbe kutoweka Whatsapp: Hivi ndivyo unavyoweza kutumia huduma mpya kwenye android, iphone
Je unafahamu unaweza kuwezesha chat/ ujumbe kutoweka WhatsApp wenyewe kila baada ya muda? Mapema mwezi huu, WhatsApp ilikuwa imetangaza rasmi kuwa italeta Ujumbe unaopotea.
Mtandao wa Kijamii, Twitter
Twitter wamteua Mdukuzi Peiter Zatko (Mudge) kama Mkuu wa Usalama
Twitter wamteua mdukuzi maarufu kuchukua cheo cha usalama wa data katika usimamizi wa huduma ya mtandao wao wa kijamii. Bwana Peiter Zatko anatambulika kwa...
apps, Google, Picha
Google Photos kuacha kuhifadhi picha na video bila ukomo kwa watuamiaji
Google Photos kuacha kuhifadhi bila kikomo. Google Photos ni app maarufu inayomilikiwa na Google na ikitoa huduma ya uhifadhi wa picha na video za...
Data, Kompyuta, Teknolojia, Usalama
Kirusi cha Melissa: Fahamu kuhusu moja ya kirusi maarufu duniani! #BaruaPepe #Usalama
Kirusi cha Melissa kilikuwa ni kirusi cha kompyuta maarufu kilicholeta matatizo makubwa katika mawasiliano barua pepe mwaka 1999. Kirusi hicho kilianza kusambaa kupitia mifumo...
apps, Maujanja
Jinsi ya Kufungua Spotify na Kusikiliza Muziki Mahali Popote
Je unatamani kusikiliza muziki katika Spotify lakini unashindwa? Basi makala hii inaweza kukusaidia kuweza kufungua app ya Spotify na kusikiliza muziki bila pingamizi popote...
Android, apps, Google, Maujanja
Google: Sasa unaweza kufahamu jina la Wimbo kupitia app ya Google
Iwe kwa wewe kuimba au kwa kusikia kutoka eneo la karibu sasa unaweza kufahamu jina la wimbo kupitia app ya Google.
Samsung
Mwenyekiti wa Samsung Lee Kun-hee amefariki akiwa na umri wa miaka 78
Mwenyekiti wa Samsung Electronics Lee Kun-hee, mtu aliyefanikiwa kuijenga kampuni ya Samsung hadi kufikia kiwango cha mafanikio amefariki dunia akiwa na miaka 78.
Maujanja, simu
Vitu Unavyopaswa Kutofanya kwenye Simu / Smartphone Yako [Jihadhari]
Je ni vitu gani ambavyo unatakiwa kutofanya kwenye simu yako kwa usalama na utunzaji wa simu yako? Tunatumia wakati mwingi sana kutumia simu janja...
ALPHABET, Google, Teknolojia
Kutoka Googol kwenda Google: Fahamu Historia ya jina la Google!
Je, wajua kuna muda ambao kosa moja linaweza likajenga kitu cha kitofauti zaidi? Hivyo ndivyo historia ya jina la Google, huduma ya utafutaji maarufu...
Intaneti, Teknolojia, Usalama
Dark Web ni nini? Fahamu zaidi kuhusu mtandao huu wa siri na tovuti zake
Kwenye masuala ya kuperuzi unaweza kutumia njia mbalimbali ili tu kutimiza adhama. Kwa mantiki hiyo mtu anaweza kutumia “Rasmi” au akaamua “Kujificha”.