YouTube ya kwenye Android na iOS yaboreshwa
Katika moja ya programu tumishi ambazo watu wanatumia kwa wingi duniani kote ni YouTube ambayo utakubaliana na mimi inaweza kusababisha mtu kupata uraibu wa kuitembelea mara nyingi tuu kila siku.
Katika moja ya programu tumishi ambazo watu wanatumia kwa wingi duniani kote ni YouTube ambayo utakubaliana na mimi inaweza kusababisha mtu kupata uraibu wa kuitembelea mara nyingi tuu kila siku.
Utiririshaji wa video ni kitendo cha kuangalia video moja kwa moja mtandaoni kwa wakati halisi au kuwasiliana na mtu kwa njia ya video ya wakati halisi. Mpaka sasa kuna majukwaa mengi yanayotoa huduma hizi lakini Teknokona leo tunakuletea orodha ya majukwaa maarufu ya utiririshaji wa video mtandaoni.
Kuna mengi tuu ambayo Twitter inapitia katika kipindi cha miezi kadhaa sasa kiasi kwamba hata aliyekuwa mtendaji mkuu wa kampuni hiyo, Bw. Jack Dorsey kuamua kujiweka pembeni na kazi hiyo lakini hatua hiyo imekuja na mabadiliko ya kutoruhusu usambazaji wa picha/video za watu binafsi bila ya ruhusa zinazowahusu!
Ni jambo la kawaida sana mtu kusogeza mbele au kurudisha nyuma video kwenye YouTube na kutokana na maboresho mbalimbali jambo hilo wala halijifichi kwani wahusika wanaboresha mambo mara kwa mara.
Hadi leo hii Dunia bado inahangaishwa na janga la virusi vya Corona ambalo bado limeendelea kughasrimu maisha ya watu siku hadi siku. Kutokana na utandawazi taarifa kuhusu ugonjwa wa homa kali ya mapafu unapatikana kupitia vyanzo mbalimbali ikiwemo YouTube.
Ukuaji wa teknolojia ambao unaenda sambamba na utandawazi leo hii si ajabu kuona watu wamepunguza sana kuweka kumbukumbu za picha katika mtindo ambao unaweza kuzishika. Kwanini teknolojia imerahisisha vitu kwa kuja na vitu kama Google Photos, iCloud.
Dunia ya leo vitu vingi tuu vimehamia kwenye ulimwengu wa kidijiti na kufanya mageuzi makubwa sana kuhusu sayansi na teknolojia ukilinganisha muongo mmoja, miwili iliyopita.
Huduma maarufu ya mawasiliano ya Zoom yakosekana kwa wengi duniani kote kwa masaa mengi katika tukio linalohusishwa na tatizo la kiufundi.
Katika ulimwengu wa “Kileo” watu wengi duniani wana akaunti Instagram ambayo imekuwa kivutio cha cha watu duniani kote na hata kusababisha uraibu. Sasa wamezindua “Reels“.
Katika ulimwengu wa sasa na hasa wakati huu ambapo Dunia inapambamba na janga la virusi vya Corona mambo mengi tuu yameweza kuamuamuliwa kwa njia ya Zoom Meeting inayohusisha mawasilano katika mfumo wa maandishi bila kusahau picha jongefu.
Netflix ni mtandao unajihusisha na ku’stream tamthilia na filamu, kwa sasa ndio mtandao mkubwa ambao unajihusisha na mambo hayo. Ukiachana na kampuni ya Netflix, kuna kampuni zingine kama Amazon na Disney+ ambazo nazo zinakuja kwa kasi.
Kutokana na janga la hatari la virusi vya Corona linalotikisa dunia tumeona kampuni nyingi zimeweza kufunga ofisi zao na kufanya kazi kupitia mtandao wakiwa nyumbani. Jambo hili limeweza pia kutoa fursa kwa baadhi ya kampuni zinatoa huduma za mazungumzo kwa njia ya picha mnato kupitia mtandao.
Kwa miaka kadhaa sasa kama unakuwa hufanyi mawasiliano kupitia WhatsApp unaweza ukaonekana wa kushangaza kwa wengi kutokana na programu tumishi ilivyotokea kupata watumiaji wengi zaidi duniani hivyo basi kurahisisha mawasiliano ambayo uti wa mgongo ni intaneti!
Mabadiliko yanafanyika kwenye huduma namba moja ya kuangalia filamu na tamthilia mtandaoni, Netflix. Kuanzia Oktoba Netflix wataanza kuachia baadhi ya show zake sehemu (episode) moja kwa wiki badala ya kuachilia msimu mzima kama ambavyo wamekuwa wakifanya kwa tamthilia zao nyingi.
YouTube inatarajia kuondoa uwezo wa kuchati kwenye app yao. Uwezo huo wa kutumiana ujumbe binafsi (kuchati) ulianza rasmi miaka ya 2017 na unaondolewa sio kwa sababu za kutotumika bali kwa sababu za kiusalama zaidi.
Ushawahi kujiuliza kama YouTube inalipa kwa mambo mengine nje ya muziki na vichekesho? Fahamu mtoto mwenye miaka 6 raia wa Korea Kusini anayefahamika kwa jina la Boram Ki amenunua jengo lenye thamani ya dola za kimarekani milioni 8 (zaidi ya Tsh bilioni 16) kwa pesa anazotengeneza kwa sababu ya YouTube.
Katika dunia ya leo mtindo wa kusikiliza/kangalia picha jongefu bila kuihifadhi ni kitu cha kawaida sana hasa ukiwa na intaneti ambayo ina kasi ambapo ukiangalia kitu hakikwami (kusubiri kwa sekunde kadhaa ndio uweze kuendelea) hapo ndipo mtoa huduma kama Spotify anapofahamika.
Miaka 10-15 nyuma kabla ya ujio wa WhatsApp, Telegram, Skype ilikuwa maarufu sana kutokana na kuwezesha mawasiliano kwa njia ya picha jongegu na hata maandishi vyote vikiwezekana kufanyika kwa wakati mmoja lakini miaka ikapita na washindani wakaja na kuifanya kupoteza umaarufu wake.
Facebook ambayo kwa kiasi fulani imepoteza uaminifu kwa wateja wake kutokana na mabo mbalimbali yaliyoikumba kampuni hiyo mwaka huu sasa wamebuni njia ya kuwavutia watu.