Facebook vs Apple – Facebook waanza kuomba data za watumiaji wa iPhone
Facebook waanza kuomba data za watumiaji wa iPhone baada ya Apple kuanza kuweka ulinzi mpya wa data za watumiaji wa simu za iPhone katika toleo la iOS 14.
Facebook waanza kuomba data za watumiaji wa iPhone baada ya Apple kuanza kuweka ulinzi mpya wa data za watumiaji wa simu za iPhone katika toleo la iOS 14.
Ni kitu ambacho labda tunakiona kila siku, je maana yake dhahiri tunaifahamu? Wengi ‘End-to-end Encryption’ kwa kiasi kikubwa ipo katika mitandao mingi ya kijamii ambayo inajikita katika kutuma na kupokea jumbe za mawasiliano.
Je unataka kuhifadhi data muda mrefu na bado unajiuliza njia gani ni sahihi zaidi kati ya SSD, HDD au diski za DVD? Hii makala ni kwa ajili ya kukusaidia kukupatia majibu hayo.
Kuna ugomvi mkubwa kwa sasa kati ya Apple dhidi ya Facebook kwenye masuala ya usalama wa data za watumiaji simu. Kampuni ya Apple imesema inafanyia kazi kuwezesha watumiaji wa simu na tableti zake kuwa na uwezo wa kuchagua kutoruhusu apps kama za Facebook kufuatilia utumiaji wao wa simu na data zao zingine binafsi zinazotumiwa na…
Marekani yaweka vikwazo zaidi kwa Huawei. Katika hatua za mwisho zilizochukuliwa na Rais Trump dhidi ya Huawei ni kuwanyima uwezo wa kununua prosesa za Intel, hii ikiwa na vikwazo vingine kadhaa.
Katika ulimwengu wa sayansi na teknolojia kuna mengi ambayo yanaibuka, kuboreshwa kila leo ili kufanya matumizi mbalimbali ya vifaa vya kidijitali yawe mepesi na kurahisisha ufanisi wa kazi. Ulishawahi kujiuliza diski yenye uwezo wa uhifadhi mkubwa zaidi inaweza kuhimili kiwango gani cha uhifadhi wa data?
Twitter wamteua mdukuzi maarufu kuchukua cheo cha usalama wa data katika usimamizi wa huduma ya mtandao wao wa kijamii. Bwana Peiter Zatko anatambulika kwa jina la Mudge katika ulimwengu wa usalama wa data na udukuzi.
Je ni mambo gani muhimu ya kuzingatia katika kutengeneza Password a.k.a nywila iliyo salama zaidi? Leo tutakufundisha jinsi ya kufanya hivyo.
TikTok kuendelea kupatikana Marekani kama kawaida baada ya mazungumzo ya awali na Oracle na Walmart kuhusu kuuza sehemu ya biashara yake kwao kuwa ya mafanikio.
Mvutano baina ya China na Marekani kuhusu Tik Tok bado waendelea ambapo serikali ya China inasema ni bora ione TikTok inafungiwa nchini Marekani kuliko kuwafanya TikTok kuuzia kwa nguvu sehemu ya app hiyo kwa kampuni ya kimarekani.
Simu za Xiaomi zinarekodi data za mamilioni ya watumiaji wake, hicho ndicho kilichosemwa na ripoti mpya kutoka kwa mtafiti wa mambo ya kiusalama.
Je umeshatamani kuwa na diski (External) kwa ajili ya kuhifadhi data zako kiusalama zaidi? Fahamu kuhusu diski za SecureDrive KP.
Shirika la ujasusi na uchunguzi wa ndani la Marekani la FBI, limewataka watu kuwa makini na Smart TV majumbani kwao. Wadai wadukuzi wanaweza kudukua TV janja kwa urahisi.
Je unaweza unaweza kufikiri ni vigumu Facebook kufahamu pale watumiaji wake wanapofanya ngono? Imefahamika si vigumu, na yote yanafanikishwa kupitia mifumo ya data za apps na huduma za matangazo ya Facebook.
Data za akaunti milioni 210 za watumiaji wa mtandao wa Facebook zavuja baada ya kudukiliwa na taarifa za akaunti zao zinapatikana kwa urahisi mtandaoni.
Serikali inachoifanyia Huawei si sawa, hayo ni maneno ya mmoja wa kiongozi wa juu kabisa ndani ya kampuni ya Microsoft .
Korea Kaskazini wakana kuiba kwa kutumia udukuzi. Serikali ya Korea Kaskazini imekana shutuma ya kuhusika na wizi wa zaidi ya dola bilioni 2 za Kimarekani kwa njia ya mtandao.
Gazeti mashuhuri la nchini Marekani, Wall Street Journal katika uchunguzi wao wamebaini wafanyakazi wa Huawei wanahusika na udukuzi na kusaidia shughuli za kijasusi dhidi ya wanasiasa barani Afrika.
Ushawahi kusikia kuhusu kampuni ya Cellebrite kutoka nchini Israeli? Tusharepoti kuhusu kampuni hii na biashara waliyofanya na FBI, na sasa wamekuja na taarifa mpya. Wanamiliki teknolojia yenye uwezo wa kudukua simu yeyote inayotumia toleo la iOS 12.