QuickLook – Wezesha ‘Preview’ kwenye Windows kwa kutumia Spacebar. #Maujanja
QuickLook ni kaprogramu kadogo kanakoleta uwezo mmoja mzuri ambao kwenye programu endeshaji ya MacOS kuja kwenye Windows.
QuickLook ni kaprogramu kadogo kanakoleta uwezo mmoja mzuri ambao kwenye programu endeshaji ya MacOS kuja kwenye Windows.
Programu endeshi ambayo inashauriwa kutumika kwenye kompyuta katika miaka ya karibuni ni Windows 10 lakini lazima tufahamu kuwa si kila kipakatalishi kinakubaliana toleo hilo (Windows 10) hivyo ni vyema ukazingatia mambo kadhaa muhimu ili kifaa chako kiweze kufanya kazi vyema.
Matatizo katika Windows 10 Updates bado yanaendelea kujitokeza. Katika toleo la sasisho (Update) la mwezi Juni kuna kompyuta nyingi ambazo zimepata matatizo kutokana na sasisho hilo.
Hizi ndio programu muhimu za kuwa nazo kwenye kompyuta/ laptop yako inayotumia Windows 10. Iwe ni kwenye kompyuta yako mpya au ambayo ndio umeweka Windows 10 upya, tutakutajia programu muhimu pamoja na kuweka eneo la wewe kuzipakua/download.
Tokea ujio wa Windows 10, tatizo kubwa limekuwa usalama wa masasisho yake (Updates). Mara kwa mara updates/masasisho yanayotumwa na Microsoft kwa watumiaji wake yamekuwa yakileta matatizo makubwa kwa baadhi ya watumiaji wa kompyuta zinazotumia toleo hilo la Windows.
Kama unatumia Windows 7 kwenye kompyuta yako basi muda wa kusasisha (upgrade) kwenda Windows 10 umefika. Microsoft wameiweka tarehe 14 Januari 2020 kama mwisho rasmi wa utumiaji wa Windows 7.
Mara nyingi tumekutana na hili jambo ambapo watu wanaotuzunguka wanauliza kama kompyuta zao zina uwezo wa kupokea programu endeshaji ya windows 10.
Microsoft wazuia sasisho (updates) kwenye baadhi ya kompyuta zinazotumia Windows 10. Sasisho linalozuiwa na Microsoft inasemekana linaweza sababisha matatizo makubwa kwenye kompyuta ambazo zimezuiliwa kuingia.
Habari mbaya kwa watumiaji wa Windows wanaotumia diski zenye ukubwa mdogo, Windows 10 kula nafasi kubwa zaidi muda si mrefu.
Leo hii ukienda kununua kompyuta dukani kama haitakuwa imewekwa Windows 8 basi itakuwa na Windows 10 ambayo inaonekana kuwa na watumiaji wengi lakini sio wa kupindukia.
Kampuni ya Microsoft imetangaza kuwa kwa sasa kuna karibu kompyuta milioni 700 zilizounganishwa na Windows 10.
Kwa mujibu wa Microsoft ni kwamba toleo la Windows 10 litakuwa linapokea masasisho (updates) kwa njia ya moja kwa moja. Njia hiyo imekuwa ikitumika kwa baadhi ya matoleo ya nyuma ya Windows.
Ingawa Microsoft walianza na lengo kubwa la kufikisha vifaa bilioni 1 vinatumia toleo la Windows 10 kufikia mwaka 2018, baada ya kulisoma soko vizuri walibadika. Kufikia Novemba toleo la Windows 10 linatumika katika vifaa milioni 600.
Katika ile hali ya kuzidi kuleta ushindani katika biashara Microsoft imeamua kutoa vitu viwili kwa wakati mmoja ambapo kwa sababu iliyowazi kabisa ni kushindana na kompyuta za Chrome OS na Apple MacBook.
Je unategemea kununua kompyuta/laptop ya kisasa zaidi hivi karibuni? Jiandae kutumia Windows 10 tuu kwenye kompyuta hizo.
Samsung Galaxy Book ni tableti-laptop mpya kutoka kampuni ya Samsung. Samsung Galaxy Book ni laptop ikiwa na keyboard lakini keyboard yake inaweza chomolewa na ukaweza kuitumia kama tableti.
Microsoft wanafanyia kazi sasisho (update) jipya la Windows 10 litakaloleta uwezo wa kubofya na kuifanya Windows 10 ikae kwa ajili ya kuchezewa magemu – yaani kuwa na ‘Game Mode’.
Microsoft walazimika kumlipa mwanamke mmoja faini ya $10,000 (zaidi ya Tsh milioni 20) baada ya kompyuta yake ku-upgrade kwenda Windows 10 bila mapenzi yake – na kibaya zaidi kompyuta hiyo kuanza kuzingua baada ya hapo.
Toleo la Windows 10 limezidi kufanya vizuri, na sasa linatumika kwenye zaidi ya kompyuta milioni 300 kuanza kupatikana rasmi mwaka jana. Bado unaweza pata Windows 10 bure ila muda unayoyoma..
Mwezi wa kwanza toleo la Windows 10 lilikuwa linatumika katika vifaa milioni 200 na sasa Microsoft wametoa data mpya zikionesha Windows 10 inatumika katika vifaa milioni 300. Hii ni milioni 100 zaidi katika kipindi cha miezi kadhaa tuu.