Google na mbinu za kukabiliana na habari za uwongo
Mojawapo ya changamoto kubwa kwenye ulimwengu huu wa utandawazi ni ueneaji wa habari za uongo ambapo kutokana na ukuaji wa teknolojia inachukua chini ya sekunde moja kuwafikia watu wengi duniani.
Skype imedumu kwenye ulingo wa biashara kwa miaka mingi na bado wanaendelea kuhudumia watu duniani kote hadi leo hii huku maboresho mbalmbali yakiendelea kutoka.
Elephant walk ni msemo unaotumika na USAF wakati wa kupaki ndege za kijeshi kwa kufuatana kabla ya kupaa, zinapokuwa katika mpangilio wa karibu. Mara nyingi, hufanyika mara moja kabla ya ndege kuanza safari.
Katika moja ya vitu ambavyo vinagharimu maisha ya watu halikadhalika uchumi wa nchi ni machafuko, majanga mbalimbali pamoja vitu vingine. Google ambayo inatumika sehemu nyingi tuu duniani imerahishisha upatikanaji wa msaada kwa wanusurika wa majanga mbalimbali.
Kutokana na ukuaji wa teknolojia NASA imekuwa sehemu ya kutafuta ubunifu mpya ambao hautumi nguvu kazi nyingi bali teknolojia na kuleta matokeo chanya.
Jack Sweeney, mwenye umri wa miaka 19 kutoka Florida, alikataa ofa ya $5,000 kutoka kwa Elon Musk ya kufuta akaunti yake ya Twitter inayofuatilia ndege binafsi ya bilionea huyo. ElonJet ina zaidi ya wafuasi 180,000 na hutumia roboti ambayo Sweeney alitengeneza kufuatilia safari za ndege za Musk, kisha hutuma kwenye twita lini na wapi ndege…
Kampuni ya Unicom ya China imekuwa kampuni kubwa ya hivi karibuni ya mawasiliano ya simu nchini China kupigwa marufuku na Marekani kwa sababu ya wasiwasi “muhimu” wa usalama wa taifa na ujasusi. Tume ya Mawasiliano ya Shirikisho (FCC) ilisema kuwa imepiga kura kwa kauli moja kubatilisha idhini kwa kitengo cha kampuni hiyo cha Marekani kufanya…
Watumiaji wa WhatsApp duniani kote wanapokea masasisho mbalimbali ambayo programu tumishi husika inafanyiwa kwa lengo la kuifanya iwe bora zaidi. “Focus Mode” ni kipengele kipya kilichowekwa huko.
Instagram ni moja ya mtandao wa kijamii ambao una watumiaji wengi zaidi duniani na kila leo inazidi kuongeza wateja wapya ambao wanafungua akaunti huko. Tunafamu vyema kile kitufe cha “Subscribe” kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii sasa kimefika Instagram!
Suala la Samsung kujenga kiwanda cha vipuri mama huko Austin-Texas, Marekani sasa limrasimishwa na ujenzi huo utaanza mwaka 2022.
Mapato ya Huawei yaporomoka zaidi huku vikwazo vya kibiashara walivyowekewa na serikali ya Marekani vikionekana kuchangia zaidi tatizo hili. Ni zaidi ya miezi tisa sasa kampuni hii inakutana na kuporomoka kwa mapato katika ripoti zake.
Dunia nzima bado inapambana na janga la virusi vya Corona ambalo mpaka sasa limeshagharimu mamilioni ya maisha ya watu ulimwenguni kote.
Huawei ambayo mpaka sasa inapitia wakati mgumu wa kibiashara kutokana na vikwazo mbalimbali imeshauriwa kuweka nguvu zaidi kwenye utengenezaji wa programu wezeshi.
Machi 2020 Bw. Bill Gates alijiuzulu nafasi yake kwenye bodi ya wakurugenzi wa Microsoft bila kushikizwa lakini kumbe nyuma ya pazia baadhi ya wajumbe walishamuona hatoshi kuendelea kuwa mmoja wao.
Marekani yaweka vikwazo zaidi kwa Huawei. Katika hatua za mwisho zilizochukuliwa na Rais Trump dhidi ya Huawei ni kuwanyima uwezo wa kununua prosesa za Intel, hii ikiwa na vikwazo vingine kadhaa.
Kila sekunde watu wanafikiria kitu kipya cha kufanya ama kuleta kwenye ulimwengu wa teknolojia na hakika tumeshaona/kusikia mengi tuu ila kazi baddo inaendelea. Je, umesikia kuhusu uwezo wa kufanya malipo kwa kutumia kiganja?
Baada ya mafanikio makubwa ya haraka, TikTok wapo kwenye hatihati ya kufungiwa nchini Marekani. Je, sababu ni nini? Fahamu zaidi.
Apple wamefunga maduka yake mengi yanayotambulika kama Apple Store katika miji mbalimbali ya nchini Marekani ili kuepeuka wizi zaidi.
Serikali inachoifanyia Huawei si sawa, hayo ni maneno ya mmoja wa kiongozi wa juu kabisa ndani ya kampuni ya Microsoft .