TCL na BlackBerry, TCL kuacha rasmi utengenezaji wa simu za BlackBerry
Simu hizi zimepotea na kurudi mara kadhaa kwenye soko, baada ya mafanikio kadhaa ya hivi karibuni TCL na kampuni ya BlackBerry inaonekana wameshindwa kuendeleza mahusiano tena.
Simu hizi zimepotea na kurudi mara kadhaa kwenye soko, baada ya mafanikio kadhaa ya hivi karibuni TCL na kampuni ya BlackBerry inaonekana wameshindwa kuendeleza mahusiano tena.
Baada ya muda mrefu wa kujaribu kuirudisha kwenye chati mwisho umefika, app ya BBM imekufa rasmi. App ya BlackBerry ilikuwa moja ya app maarufu sana na app ya kwanza kuleta uwezo wa kuchati na makundi kwa simu janja – enzi hizo BlackBerry ndio ilikuwa namba moja.
Mwaka umeguka na tumeshaanza mwaka mwingine makampuni mbalimbali yapo mbioni kutoa bidhaa mpya ambapo siku si nyingi utasikia kuhusu simu mpya za BlackBerry na Alcatel.
Ubia wa Blackberry na Emtek. Katika kujaribu kuongeneza mapato Blackberry wameingia ubia na kampuni ijulikanayo kama ‘Emtek’ kutoka nchini Indonesia kusaidia BBM app irudishe makali yake kama ilivyokuwa zamani.
WhatsApp wameonekana kutimiza kile walichokuwa wamekisima kwa kusitisha kabisa huduma ya WhatsApp kwa baadhi ya simu janja kuanzia Desemba 31 2017.
Siku kadhaa zilizopita kampuni ya TCL, watengenezaji wa simu za BlackBerry, wametambulisha rasmi simu mpya ya BlackBerry Motion.
BlackBerry yapata faida. Kwa kipindi cha miaka mingi hivi karibuni kampuni ya BlackBerry imekuwa na majanga ya kupata hasara za mfululizo hali iliyosababisha kampuni hiyo iliyokuwa nguli kwenye biashara ya simu kupoteza asilimia kubwa ya thamani yake.
BlackBerry KEYone ni simu janja mpya inayovutia itakayoanza kupatikana mwezi wa nne mwaka huu.
WhatsApp kutopatikana tena kwa mamilioni ya simu za Android na iOS ifikapo mwaka 2017. Uamuzi wa WhatsApp umetokana na simu hizo kuwekwa kwenye kundi la simu za zamani sana na hivyo kutohimili mambo mapya yanayowekwa kwenye app hiyo.
Ingawa tayari walishatangaza rasmi kuachana na biashara ya utengenezaji simu, kampuni ya BlackBerry imetoa taarifa rasmi ikisema bado wanasimu yao ya mwisho kwa ajili ya kuingia sokoni.
Wamejaribu…wakashindwa…..wakajaribu tena na wakashindwa. Wakaja na Android na bado imeshindakana. Sasa ni rasmi, BlackBerry waachana na biashara ya utengenezaji simu janja.
Kitu cha kusikitisha ni kwamba hutaweza kuimiliki Tableti hii kwani inatengenzwa spesheli kwa ajili ya serikali ya ujerumani.
Kila unapofikiria mwisho wa simu za BlackBerry umefikia ndio BlackBerry wanakuja na kitu kipya cha kukuonesha bado wapo katika biashara ya simu.
BlackBerry wanaonesha ni kwa jinsi gani bado hawakubali kuanguka katika eneo la biashara za simu, tayari wamejiweka tayari kuja tena na simu nyingine tatu tofauti zinazotumia Android hivi karibuni.
Kwa miaka miwili sasa kampuni ijulikanayo kama Blackberry imekuwa ikipata hasara katika uuzaji wa simu janja kutoka kampuni hiyo.
Kwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani rais wa Marekani ameachana na simu ya BlackBerry baada ya washauri wake kumruhusu kutumia simu janja ya aina nyingine.
Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya BlackBerry amesema bado wana imani katika biashara ya simu janja na tayari wapo njiani kuleta matoleo mapya mawili ya simu za BlackBerry zinazotumia Android.
Kampuni la Blackberry limejikuta likijikongoja baada ya kutofikia malengo yake ya mauzo ya simu janja zake licha ya kwamba wana simu mpya sokoni ambazo zinatumia programu endeshaji ya Android.
Mwezi uliopita mtandao WhatsApp uliacha ku-support app yao kwa simu za Blackberry, Facebook nao wafanya maamuzi hayo nao pia wameondoa ‘support’ yote kwa simu za BlackBerry zinazotumia programu endeshaji yao.
WhatsApp Imesema kwamba itasitisha uungaji mkono kwa baadhi ya OS ambazo haizumiki tena ama ambazo zinatumiwa na watumiaji wachache zaidi, OS kama Blackberry 10, Nokia Symbian S60 na Windows Phone 7.1 ni moja ya OS ambazo zitasitishiwa uungaji mkono.