Twitter inathibitisha kuwa inafanyia kazi kitufe cha kuhariri
Twitter ni mtandao wa kijamii unaotumika na watu mbalimbali kubadilishana mawazo kupitia jumbe fupi. Mtandao huu wa kijamii ulianzishwa mwaka 2006, waanzilishi wakiwa ni Jack Dorsey, Biz Stone, Evan Williams na Noah Glass.