Usajili wa leseni za maudhui mtandaoni warejea
TCRA ilisitisha kwa muda suala la usajili wa leseni za maudhui mtandaoni tangu Januari 28 ili kuboresha vitu fulani fulani lakini sasa wameanza tena kupokea maombi.
TCRA ilisitisha kwa muda suala la usajili wa leseni za maudhui mtandaoni tangu Januari 28 ili kuboresha vitu fulani fulani lakini sasa wameanza tena kupokea maombi.
Hivi leo ukimuuliza Mtanzania anayetumia simu ya mkononi kitu ambacho kinamuumiza roho kwa walio wengi ni gharama mpya za mawasiliano (hususani vifurushi vya intaneti) ambazo zimeanza kutumia rasmi Aprili, 2 2021 kufuatia mabadiliko madogo ya kanuni kwa kampuni za simu zilizotolewa na TCRA wiki chache zilizopita.
Mwezi Februari umeisha kwa maumivu makubwa kwa watumiaji wa intaneti baada ya kuona mitandao ya mawasiliano ya simu ikipandisha gharama za intaneti kwa asilimia kubwa bila sababu za msingi kutolewa.
Ni wazi kumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusiana na bando za simu. Malalamiko mengi yamekuwa yakihusina na bando la internet.. kwamba wateja wanaweka bando hizo na zinawahi kuisha. TCRA na wizara husika zina tamko gani?
Leo hii huwezi kuongelea Tanzania bila kuzungumzia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ambayo kimsingi ni taaluma kama zilivyo nyingine na mwaka huu tutapata kushudia tuzo za TEHAMA zinazoratibiwa/zitatolewa na TCRA.
TCRA kupitia kitengo chao cha ulinzi wa kompyuta wa dharura, TZ-CERT imeleta shindano kwa wanavyuo wachukuao masomo ya teknolojia ambalo litawafanya wanafunzi kuweza kudukua taarifa na kujilinda na mashumbulizi kupitia shindano la kudukua (HACKING COMPETITION).
Wakati watanzania wakiwa wanaendelea kukumbushwa kuhusu kwenda kusajili upya kadi zao za simu sasa imeshajulikana tamati ya zoezi hilo.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA imetoa tangazo kwa wateja wote wanaotumia line za simu za makampuni ya mawasiliano kwamba kuanzia mwezi Mei mosi, 2019, usajili wa kadi za simu utakuwa kwa njia ya alama za vidole (fingerprint).
Moja ya sekta ambayo nchi nyingi duniani zinaingiza pato kubwa ni kwenye sekta ya mawasiliano ambayo katika maisha yetu ya kila siku kuna mambo mengi lazima yahusishe sekta hii, inaweza ikawa kwa mawasiliano ya simu, barua pepe, n.k.
Mafundi wa vifaa vya kielektroniki ambao kiukweli ni wengi karibu kila kona ya Jiji la Dar es Salaam lakini hata katika mikoa mingine wapo wengi tuu sasa imefikiwa wakati Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania inataka iwatambue.
Inaonekana zoezi la kufungua simu ambazo sio halisi halikufikia tamati kwani idadi mpya imetolewa ambapo rungu la TCRA limezifika simu zaidi ya nne elfu.