Watumiaji wa Instagram wamekuwa wakichunguliwa kupitia kamera za iPhone
Watumiaji wengi wa simu janja duniani kote mitandao ya kijamii ambayo ina watumiaji wengi wa kila siku inajumuisha Facebook, Instagram na nyinginezo ni WhatsApp, Twitter lakini sasa mtandao mkubwa wa kijamii umelalamikiwa!.