Machapisho ya Kisiasa Facebook kupunguzwa umaarufu wa kufikia watu
Machapisho ya kisiasa Facebook yanataanza kuonekana mara chache zaidi kwenye utumiaji wa kawaida wa mtandao huo wa kijamii.
Machapisho ya kisiasa Facebook yanataanza kuonekana mara chache zaidi kwenye utumiaji wa kawaida wa mtandao huo wa kijamii.
Twitter wamteua mdukuzi maarufu kuchukua cheo cha usalama wa data katika usimamizi wa huduma ya mtandao wao wa kijamii. Bwana Peiter Zatko anatambulika kwa jina la Mudge katika ulimwengu wa usalama wa data na udukuzi.
Je umetaka kutuma ujumbe wa sauti kwenye DM kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter? Habari nzuri kwako, tayari uwezo huo unafanyiwa majaribio na unategemea kuja hivi karibuni.
Kwa muda mrefu tovuti ya kijamii ya Facebook imekuwa ikizuia matangazo yanayolenga kutumika Facebook au Instagram kama yatakuwa na maneno mengi kwenye picha.
Kampuni ya ByteDance, wamiliki wa app maarufu ya TikTok wamesema bado watabaki na umiliki wa teknolojia muhimu ya app hiyo ata baada ya kukubali kuuza sehemu ya kampuni hiyo nchini Marekani kwa Oracle na Walmart.
Kama ni mtu ambae unatumia simu ya Android na unakuwa makini sana kuhusu suala zima la programu tumishi za kuwa nazo kwenye rununu basi si ajabu ile mitandao ya kijamii mikubwa ukawa unatumia ya toleo la “Lite“.
Kwenye dunia iliyotawaliwa na utandawazi kwa kiasi kikubwa kwebye mataifa mengi hakika kuna mengi yanatokea kutoka kila pembe ya ulimwengu na hivi kuna mitandao ya kijamii basi imekuwa ni rahisi kufahamu mengi; yawe ya ukweli au uwongo vyote vinapatikana lakini umesikia kuhusu uwezo wa kufunga wasifu?.
Kwenye dunia ya leo watakuwepo watu wachache ambao hawajui mtandao wa kijamii uitwao Twitter ambapo unawezesha kuchapisha vitu mbalimbali lakini umejitofautisha na mitandao mingine.Mpaka sasa una chapisho lako kwenye Twitter?
Sasa ni rasmi kwa wanaotaka Visa kwenda Marekani maombi yao yatahusisha kuorodhesha akaunti zao za mitandao ya kijamii.
Ndugu na Marafiki sasa kupost kwenye akaunti za Marehemu Facebook kwa urahisi zaidi. Facebook kwa muda sasa wameweza kuziwekea vitu akaunti za watu waliofariki ili wengine kuweza kutambua kwa urahisi. Vitu hivyo ni pamoja na neno “REMEMBERING” ambalo linatambulisha kama mmiliki wa akaunti amefariki dunia.
Serikali ya Uingereza imetishia kufungia mitandao ya kijamii kupitia kampuni zao ikiwa hazitatoa jumbe ambazo zinazoweza kuwa hatari kiafya.
Kama moja yakiashiria cha ukuaji wa teknolojia mitandao ya kijamii imekuwa ikitumiwa kwa njia mbalimbali kitu ambacho kinasababisha uwepo wa habari mbalimbali, sasa katika taarifa ya hivi karibuni Instagram wanapambana kuondoa vitu vya uwongo.
Watu wengi duniani wanatumia sehemu ya muda wao kutembelea mitandao ya kijamii jambo ambalo limebainika kuwa na madhara hasa kiafya lakini iwapo utatumia muda mchache kuperuzi basi utakuwa umepunguza msongo wa mawazo/upweke.
Polisi Tanzania imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali kuweza kukabiliana na wale ambao wanabainika kutumia vibaya mitandao ya kijamii.
Waanzilishi wa Instagram, Kevin Systrom na Mike Krieger wametangaza kuwa wanaondoka katika kampuni hiyo na kwenda kujaribu udadisi na ubunifu wao sehemu nyingine.
Kituo cha utafiti cha Pew kimechapisha ripoti yake kuhusiana na matumizi ya mtandao wa kijamii wa Facebook nchini Marekani.
Twitter ambao wamekuwa wakifanya jitihada za kuboresha mtandao huo wa kijamii sasa wamefanya kitu kingine kwa machapisho mubashara kupitia huko.
Sio jambo ambalo limejificha kuhusu idadi ya watu wanaotumia mtandao wa kijamii wa Twitter au hata wale ambao wanafikiria kufungua akaunti huko na kuitumia. Hali hiyo huenda ikabadilika kutokana na mambo mapya ya kuvutia.
Kwa mujibu wa ripoti mpya watumiaji wa WhatsApp duniani kote tukiangazia muda wa jumla inaelezwa walitumia saa bilioni 85 kwenye programu hiyo katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Makampuni makubwa nchini Uingereza yamekuwa yakilipa kodi kama kawaida lakini kodi hiyo inaonekana kuwa haitoshi kutozwa Facebook, Google, Instagram na wengineo.