Instagram Kufanya Video Zote Kuwa Reels!
Instagram ni mtandao wa kijamii wenye umaarufu mkubwa sana na umejikita Zaidi katika maswala ya picha na video.
Instagram ni mtandao wa kijamii wenye umaarufu mkubwa sana na umejikita Zaidi katika maswala ya picha na video.
Ni wazi kuwa huduma hii imekua inafanyiwa majaribio kwa muda sasa, huu ndio wakati wake wa kuanza kutumika na jamii.
Instagram ni mtandao wa kijamii maarufu sana hasa katika maswala ya picha na video fupi fupi. Kwa baadhi ya watu ndio mtandao wao wa kijamii pendwa.
Instagram ni maarufu duniani kote na ina zaidi ya miaka 11 tangu iletwe kwa watumiaji lakini programu hiyo tumishi haipo kwenye iPad.
Moja ya sababu ya watu kununua kifurushi cha intaneti ni kuweza kuperuzi mtandaoni halikadhalika kwenye mitandao ya kijamii kwa ujumla wake. Ni wazi kuwa kuna watu wana uraibu wa matumizi ya Instagram lakini ukiwaambia wanaweza wasikubali.
Instagram ya Meta inatambulisha njia mpya ya watu kuingiliana na Hadithi. Kuanzia leo, unaweza kutuma like kwa faragha mtu anaposhiriki picha au video inayovutia macho yako. Hapo awali, njia pekee ya kujibu Hadithi ilikuwa kutuma mtayarishi ujumbe wa moja kwa moja au hisia ya emoji. Kwa vyovyote vile, jibu lako lingeonekana katika kisanduku pokezi cha…
Facebook ni mtandao wa kijamii ambao una watumiaji wengi zaidi duniani lakini hivi karibuni kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka kumi na minane (18) takwimu zimeonyesha watu wanaoitumia wamepungua.
Instagram inachukua hatua mpya ili kufanya maudhui “yanayoweza kudhuru” yasionekane kwenye programu yake. Kampuni hiyo inasema kwamba kanuni inayosimamia jinsi machapisho yanavyoonyeshwa kwa watumiaji na katika Hadithi sasa itatatiza maudhui ambayo “yanaweza kuwa na uonevu, matamshi ya chuki au yanaweza kuchochea vurugu.”
Instagram ni moja ya mtandao wa kijamii ambao una watumiaji wengi zaidi duniani na kila leo inazidi kuongeza wateja wapya ambao wanafungua akaunti huko. Tunafamu vyema kile kitufe cha “Subscribe” kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii sasa kimefika Instagram!
Mtandao wa kijamii wa Instagram umekuwa ukifanya maboresho ya huduma zake kupitia taarifa wanazopata kwenye tafiti mbalimbali wanazaofanya kuhusiana na matumizi ya jukwaa hilo. Hivi karibuni Mkuu wa Instagram Adam Mosseri ametangaza kuwa kampuni hiyo imeanza kujaribu kipengele kipya wiki hii kiitwacho “Pumzika”.
Je umewahi kujiuliza ni jinsi gani unaweza kutumia Instagram kukuza biashara yako? Kama Ndio basi makala hii itakuelezea namna ambavyo utaweza kufanya hivyo na kufanikiwa katika biashara zako kwa kufanya mauzo mtandaoni na dukani kwako pia.
Watumiaji wa Instagram tufahamu hili kuwa siku si nyingi itakuwa ni lazima kujaza tarehe ya kuzaliwa kwenye akaunti ya mtumiaji. Hii inatazamiwa kuja katika siku za usoni ikiwa inalenga kitu fulani.
Hivi unajua kuna maduka ndani ya mtandao wa Instagram? maduka hayo ni sehemu ya wauzaji wa bidhaa kuweza kuuza bidhaa zao katika mtandao huo.
Ni wazi kwamba mtandao wa kijamii wa Instagram unazidi kukuwa kila siku na kila siku kuna vipengele vingi inaviongeza ili kuhakikisha kuwa inazidi kusonga mbele.
Ni wazi kwamba mtandao wa kijamii wa Instagram kwa sasa hauruhusu kupost picha na video kama ukiwa unatumia mtanda huo kwa kutumia kompyuta.
Ukikutana na matangazo katika kipengele cha ‘Reels’ kutoka Instagram wala usishangae maana yamesharuhusiwa kuonekana huko.
Instagram ambayo hivi sasa inasifika kwa kuumpa mtumiaji uwezo wa kuchagua kuficha idadi ya watu waliopenda/waliotazama chapisho husika sasa imeboreshwa tena!.
Kama ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Instagram ni wazi kuwa utakua unajua kwamba kuna aina za Akaunti kwenye mtandoa huo. Hizi si zingine bali kuna ile ya kawaida kabisa yaani Personal, Business na ile ya Creator.