Android, apps, Google Photos, Teknolojia
Unafahamu kuwa Google Photos imeboreshwa?
Ukuaji wa teknolojia ambao unaenda sambamba na utandawazi leo hii si ajabu kuona watu wamepunguza sana kuweka kumbukumbu za picha katika mtindo ambao unaweza...
Android, apps, iOS, Teknolojia, whatsapp
Kutumia WhatsApp bila kutegemea kifaa kingine mbioni kukamilika
Matumizi ya WhatsApp yanakuwa kila inapoitwa leo na pengine kuna baadhi mtu asipokuwa kwenye muundo huo wa mawasiliano anaonekana “Yupo nyuma” kutokana na ukweli...
apps, Intaneti, Teknolojia, Video, YouTube
Kwanini wafuatiliaji na waangaliaji ni muhimu kwenye Youtube?
Dunia ya leo vitu vingi tuu vimehamia kwenye ulimwengu wa kidijiti na kufanya mageuzi makubwa sana kuhusu sayansi na teknolojia ukilinganisha muongo mmoja, miwili...
apps, TikTok
TikTok kuendelea kupatikana Marekani, makubaliano na Oracle yapo hatua za mwisho
TikTok kuendelea kupatikana Marekani kama kawaida baada ya mazungumzo ya awali na Oracle na Walmart kuhusu kuuza sehemu ya biashara yake kwao kuwa ya...
Android, apps, Instagram Lite, Teknolojia
Instagram Lite imerudi na toleo jipya
Kama ni mtu ambae unatumia simu ya Android na unakuwa makini sana kuhusu suala zima la programu tumishi za kuwa nazo kwenye rununu basi...
Apple, apps, iOS, iOS 14, Teknolojia, Uchambuzi
Unafahamu kuwa iOS 14 imetoka?
Moja ya vitu ambavyo wanaotumia bidhaa za Apple walikuwa wakisubiri ni kutoka kwa iOS 14 ambayo iilitambulishwa Jumatano ya Septemba, 16 2020.
apps, Data, TikTok
Serikali ya China inapinga ulazimishwaji wa TikTok kuuzwa
Mvutano baina ya China na Marekani kuhusu Tik Tok bado waendelea ambapo serikali ya China inasema ni bora ione TikTok inafungiwa nchini Marekani kuliko...
apps, Intaneti
Huduma ya Mawasiliano ya Zoom yakosekana kwa Wengi
Huduma maarufu ya mawasiliano ya Zoom yakosekana kwa wengi duniani kote kwa masaa mengi katika tukio linalohusishwa na tatizo la kiufundi.
Android, apps, Facebook Messenger, instagram, iOS, Mtandao wa Kijamii, Teknolojia
Jibu jumbe za kwenye Instagram na FB Messenger sehemu moja
Facebook ndio inayomiliki mitandao ya kijamii pendwa halikadhalika WhatsApp. Pasi na shaka ni mitandao ya kijamii yenye watumiaji wengi zaidi na sasa kuna kitu...
apps, Teknolojia, Twitter
RASMI: Amua nani awe na uwezo wa kujibu machapisho yako kwenye Twitter
Moja ya mtandao wa kijamii ambao hauna mambo mengi ni Twitter na pengine wengi kutoupenda/kuutumia mara kwa mara kutokana kutovutia kwa vile ambavyo wanapendezwa...
Android, apps, Teknolojia, Telegram
Piga simu katika mfumo wa picha jongefu kwenye Telegram
Uwezo wa kupiga simu katika mfumo wa picha jongefu sasa umefika kwenye Telegram baada ya watumiaji kuuliza mara nyingi tuu na kwa miaka kadhaa.
Android, apps, iOS, Teknolojia, whatsapp
Uwezo wa kutopoteza mazungumzo ya WhatsApp baada ya kutumia kifaa kingine
Kutokana na utandawazi, ukuaji wa teknolojia watu tunaweza kuvutiwa na kifaa (simu janja, tabiti, n.k) hivyo kusababisha kununua bidhaa hiyo na tunapokuja kufanya usajili...