Msemaji wa wizara ya mambo ya ndani nchini Saudi Arabia imewatoa wito wanaomiliki ndege zisizokuwa na rubani (Drones) kujisajili na kuomba ruhusa ya kumiliki ndege hizo.
Uamuzi huo umechukuliwa baada ya saa kadhaa baada ya jeshi la Polisi kushambulia ndege isiyokuwa na rubani iliyooruka pembezoni mwa kasri ya mfalme mjini Riyadh usiku wa Jumamosi kuamkia Jumapili.