Kwa haraka haraka dhumuni linaweza kuwa ni kuja kuichachafya Samsung, lakini nadhani OnePlus wana sababu nyingi ukiachana na hii.
Fununu zilizopo ni kwamba tabiti hiyo itajulikana kama OnePlus Pad. Kwa upande wa OnePlus wenyewe bado hawajathibitisha hili kwamba wanakuja na tabiti ya Adroid
Kusoma taafifa hizo zote ingia —-> Hapa <—
Tunajua Kuwa kampuni imeungana na Oppo na kuwa chini ya kampuni ya BBK Electronics ambayo inamiliki Vivo na RealMe.
Kujua zaidi Kuhusu Muunganiko Huu Soma —> Hapa <—-
Katika kuliwezesha hili kumbuka kwa sasa OnePlus ina malighafi nyingi sana kwa sababu inashirikiana moja kwa moja na kampuni ya Oppo.
Kwa ushirikiano huu ni kwamba kutakua na tabiti nyingi tuu ambazo zinaweza kuzalishwa na wawili hao na kuleta mapinduzi makubwa katika soko.
No Comment! Be the first one.