Katika makampuni ya simu yenye sifa kedekede huwezi kuacha kulitaja Xiaomi, kampuni hii ni kubwa sana ambayo ina makao makuu huko nchini china.
Ukiachana na kuwa kubwa sana huko china hata duniani kote inafanya vizuri sana hali ambayo imepelekea makampuni mengine makubwa kama vile Apple na Samsung kuogopa.
Kuna muda (2019) Huawei ilishangaza wengi baada ya kuingia katika tatu bora huku ikiwa ni ya pili pia kimauzo katika makampuni yote yanayouza simu suniani.
Sasa kama utashangaa hilo unaweza kushangaa zaidi nikikuambia kuwa kwa sasa kampuni hiyo inashika namba mbili na hii ni baada ya kuipita Apple kimauzo ya simu janja.
We've moved up one more spot! Just in from @Canalys, we are now the 2nd largest smartphone brand worldwide in terms of shipments. This amazing milestone couldn't have been achieved without our beloved Mi Fans! #NoMiWithoutYou
RT with ✌️from your Xiaomi smartphone 🙂 pic.twitter.com/kKfuTK8K7J
— Xiaomi (@Xiaomi) July 15, 2021
Hili limetokea katika robo ya pili ya mwaka 2021. Huku katika tano bora ikiwa imeshikiliwa na makampuni mengi kutoka huko china.
Kingine kinachosababisha hivi ni kwamba kampuni inakuza sana biashara yake kwa mataifa mengine kama vile ile amerika ya latini, Africa na ulaya.
No Comment! Be the first one.