Linapokuja suala la mitandao gani ya simu imejiwekeza vizuri linapokuja katika suala la ‘Social Media management’ kwa lugha yetu uendeshaji na ushiriki katika mitandao ya kijamii naiweka Tigo namba moja.
Kuendesha akaunti za mitandao ya kijamii inaitaji timu nzuri sana, kwani haitakiwi iendeshe kimalengo ya matangazo tuu kwani utawachosha wateja wako hivyo inahitaji ubunifu wa hali ya juu ili kuongeza mazungumzo na wateja wako. Na hichi ndo kitu ambacho timu ya Tigo inafanya.


Tunategemea hii itakuwa ‘challenge’ kubwa na kuleta chachu kwa makampuni mengine katika kuboresha timu zao za kuendesha akaunti zao za mitandao ya kijamii.
No Comment! Be the first one.