Ni wazi kwamba ukichana na ukubwa wa mtandao wa Telegram bado mtandoa huo unabaki kuwa mmoja kati ya mitandao ya kijamii bora zaidi kutokana na vipengele vyake.
Huduma ya video call kwa sasa inapewa kipaumbele sana na makampuni mbali mbali na hii imekua kubwa zaidi kutoka na janga la CORONA.
Mitandao kama Zoom ambayo inafanya huduma hii ya simu za uso kwa uso kwa watu wengi zilijizolea umaarufu sana wakati wa janga hili mpaka mitandao mingine ikaanza kujiuliza (kupata wasiwasi).
Telegram wenyewe wanasema katika simu za sauti katika kundi, wanaweza ongea watu (idadi) jinsi wanavyoweza kalini hii ya simu za uso kwa uso kwa kundi (group video call) wataweza kutana hadi wati 30 tuu.
Hapa inamaanisha watu 30 wa mwanzo kujiunga na mazungumzo hayo. Huku bado fununu za uongezwaji wa namba hiyo kuwepo katika vyanzo mbalimbali.
Kingine kikubwa ni kwamba wameboresha kipengele cha ‘Background’ kwa kuziongeza kuwa nyingi sana (machaguo) na pia kumpa mtumiaji wa mtandao huo kuwa na uwezo mkubwa wa kutengeneza za kwake.
No Comment! Be the first one.