FAHAMU: Non-Fungible Token (NFT) Ni Kitu Gani?
Hilo neno NFT kwa dunia ya sasa hivi sio geni sana, pengine inawezekana ushawahi kulisikia au kupishana nalo sana huko mtandaoni.
Hilo neno NFT kwa dunia ya sasa hivi sio geni sana, pengine inawezekana ushawahi kulisikia au kupishana nalo sana huko mtandaoni.
Tanzania ni moja ya nchi nyingi tuu duniani ambazo wananchi wake wanatumia sarafu za kidijitali kufanya miamala mbalimbali kwa uhuru kabisa bila ya kuwepo maswali mengi lakini si kwamba mfumo huo umerasimishwa, la hasha!
Historia ya Bitcoin. Kwa mara ya kwanza Bitcoin kuongelewa mtandaoni ilikuwa ni mwaka 2009 ambapo Satoshi Nakamoto alitoa andiko linaloelezea mfumo wa fedha za kidigitali unaojitegemea.
Bitcoin ni fedha ya kidigitali ambayo huondoa uhitaji wa waamuzi na wasimamizi wa fedha kama benki na serikali na badala yake kutumia mtandao wa kompyuta zenye uwezo wa kuthibisha manunuzi moja kwa moja kati ya watumiaji.
Moja ya makampuni makubwa yanayotengeneza magari yanayotumia nishati ya umeme TESLA ni mojawapo na mpaka hivi karibuni ilikuwa inakubali malipo kwa kutumia Bitcoin.
Kwenye ulimwengu wa sasa matumizi ya sarafu za kidijitali yameendelea kushika kasi igawa serikali za nchi nyingi bado hazijahalalisha matumizi rasmi hasa kwenye mabenki na serikali ya Japan bado inaona inahitaji kuweka nguvu zaidi kwenye utafiti kuhusu sarafu hizo ambazo hazishikiki.
Sarafu ya kidigitali ya Libra kutoka Facebook na washirika wake wanaojenga umoja na kampuni inayojitegemea wanayoiita Libra Association imeendelea kupita kwenye changamoto.
Mtandao maarufu wa kijamii, Facebook umetangaza kuingiza sokoni sarafu isiyoshikika. Tangazo hilo kutoka Facebook linasema sarafu hiyo mpya ya kidijiti itakayoingizwa sokoni mwaka 2020 inaitwa ‘Libra‘.
Makamu wa rais-benki kuu, Nasır Hakimi amesema kuwa serikali ya Iran imepiga marufuku shughuli zote za matumizi ya sarafu ya kidijiti-Bitcoin.