Jack Ma aonekana kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa
Muanzilishi wa kampuni ya Alibaba, Bwana Jack Ma aonekana kwa mara ya kwanza baada ya kutokuonekana kwa miezi kadhaa huku ikidaiwa ni kutokana na kupishana kauli na serikali ya China.
Muanzilishi wa kampuni ya Alibaba, Bwana Jack Ma aonekana kwa mara ya kwanza baada ya kutokuonekana kwa miezi kadhaa huku ikidaiwa ni kutokana na kupishana kauli na serikali ya China.