Katika kuhakikisha kwamba jamii yake inapata teknolojia kwa bei nafuu zaidi Rwanda imekuwa nchi ya kwanza Afrika kuanzisha kiwanda cha utengenezaji simu janja unaohusisha utengenezaji wa vipuli vingi hapo hapo badala ya kuagiza nje.
Simu mbili tayari zimezinduliwa na muda mfupi zitaanza kupatikana katika masoko ya uuzwaji wa simu ndani ya Rwanda na katika nchi zingine za Afrika.
Simu hizo mbili zitafahamika kama Mara X na Mara Z ambazo zote zitakuwa zina uwezo wa kutumia laini mbili.
Kwa ufupi tumekuwekea uangalie sifa za simu hizo mbili kutoka Bara la Afrika.
Sifa za simu ya Mara Z
Prosesa | Qualcomm MSM8940 Snapdragon 435 |
Network | 2G, 3G, 4G |
Ukubwa wa kioo | 5.7 inches, 720 x 1440 pixels, 18:9 aspect ratio, IPS LCD with Corning® Gorilla® Glass and Oleophobic Coating. |
Mfumo endeshi OS | Android 8 Oreo. |
Ukubwa wa uhifadhi | 32 GB |
RAM | 3GB |
Kamera ya Nyuma | 13 MP single camera, f2.0 Aperture, auto focus, Portrait Mode (Bokeh effect) , LED flash, 1080p@30fps video recording, Dual Recording. |
Kamera ya Selfie | 13 MP, f2.2 Aperture, fixed focus, 1080p@30fps video capture. |
Ujazo wa Betri | Lithium-Polymer 3070 mAh (Haichomoki) |
FM Radio | Kuna redio |
Sifa zs simu ya Mara X
Prosesa | MediaTek MT 6739 |
Network | 4G LTE with VoLTE and ViLTE, VoWi-Fi |
Ukubwa wa kioo | 5.5 inchi |
Mfumo endeshi OS | Android 8.1 Oreo GO Edition |
Ukubwa wa uhifadhi | 16GB |
RAM | 1GB |
Kamera ya Nyuma | 13 MP |
Kamera ya Selfie | 5 MP |
Ujazo wa Betri | 3500mAh |
Soma kuhusu uzinduzi na uwezo wa kampuni inayotengeneza simu hii. Soma – Rwanda wazindua simu janja mbili, simu kupatikana kwa malipo ya taratibu (contract)