Mwaka huu Apple wameamua kuirudisha tena iPad Pro ikiwa na maboresho kadha wa kadha na mtangullizi wake alitoka mwaka 2018.
Mwezi Machi 2020 toleo jipya la iPad Pro kwa mwaka husika imetoka huku ikionekana ikiwa na maboresho kadha wa kadha kulingana na ilivyowapendeza wao lakini hata mahitaji ya soko pia. Yapo mengi ambayo nitayaangazia lakini nianze tuu kwa kusema kifaa hicho hakina teknolojia ya 5G!.
Kwenye toleo hili jipya Apple wameboresha upande wa kipuri mama, kamera lakini kiujumla muonekano wake ni sawia na mtangulizi wake-iPad Pro 2018. Sifa zake ni kama ifuatavyo:-
Kipengele |
iPad Pro 2020 |
Kioo | Kioo kina urefu wa inchi 12.9 (2732 x 2048 pixels) Liquid Retina LED-backlit IPS display. |
Muonekamo | Inafanana sana na iliyotangulia isipokuwa toleo la sasa ni pana kidogo. |
Kipuri mama | Inatumia A12Z Bionic |
Kipengele |
iPad Pro 2020 |
Kamera |
Nyuma: Kamera mbili-MP 12 na MP 10+LiDAR sensor-ni mahususi kwa teknolojia ya Augmented Reality (AR).
Mbele: Ina kamera moja yenye MP 7+Face ID. |
RAM/Diski uhifadhi |
|
Betri |
|
Kipengele |
iPad Pro 2020 |
Bei |
|
Rangi |
Fedha na Kahawia. |
Mengineyo |
|
Kiujumla toleo la iPad 2020 si bora sana kuzidi mtangulizi ingawa ina kipuri mama chenye nguvu zaidi, ukubwa wa RAM kuzidi iliyopita lakini mbaya zaidi ni ghali kulinganisha na ile iliyopita.
Vyanzo: MacRumors, Pocket Lint
One Comment
Comments are closed.