Elon Musk awa Tajiri Namba Moja Duniani na Kushuka tena hadi namba 2 ndani ya muda mfupi
Bwana Elon Musk awa tajiri namba moja duniani na kushuka tena hadi namba 2 ndani ya muda wa siku chache. Kulingana na mahesabu ya jarida la Forbes, Bwana Elon Musk amepoteza utajiri wa zaidi ya dola bilioni 13.5 ndani ya siku chache na hivyo kupoteza nafasi ya kwanza.