Samsung wameamua kubuni familia mpya kabisa ambazo zitabeba herufi ‘M’ kama ilivyo matoleo mengineyo ambayo tunafayafahamu kutoka kwao na wameanza kwa kuja Samsung Galaxy M20 na M30.
Pamoja na simu ambazo tunafahamu kuwa zipo karibu kuzinduliwa kutoka kwao Samsung lakini wameamua herufi nyingine (M) kama zile za “Samsung Galaxy A…. au J….”.
Ingawa bado hazijatoka lakini mengi kuhusiana na rununu husika (Galaxy M20 na M30) yameshaweza kufahamika kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya kuaminika. Sifa zake zinajieleza kwenye jedwali lifuatalo:-
Kipengele |
Galaxy M20 |
Galaxy M30 |
Kioo | Kioo kina urefu wa inchi 6 LCD IPS | Kioo kina urefu wa inchi 6.38 Full HD+ (1080 x 2280 pixels) |
Muonekamo | Ina umbo la herufi “V” iliyowekwa sehemu ndogo sana kwenye kamera ya mbele | Ina umbo la herufi “V” iliyowekwa sehemu ndogo sana kwenye kamera ya mbele |
Kipuri mama | Exynos 7885 SoC ndio iliyowekwa | Exynos 7 Octa 7885 |
Kipengele |
Galaxy M20 |
Galaxy M30 |
Kamera |
Nyuma: Kamera mbili-MP 13 na MP 5.
Mbele: Ina kamera moja yenye MP 8. |
Nyuma: Kamera tatu-MP 13+MP 5+MP 5.
Mbele: Kamera moja yenye MP 16. |
RAM/Diski uhifadhi |
|
|
Betri |
|
|
Kipengele |
Galaxy M20 |
Galaxy M30 |
Bei |
$182|zaidi ya Tsh. 418,600 (32GB) |
$280|zaidi ya Tsh. 644,000 (64GB) |
Rangi |
Nyeusi, Bluu |
Bado haijajulikana |
Mengineyo |
|
|
Simu husika zinatazamiwa kuzinduliwa Januari 28 2019 ingawa Samsung wenyewe hawajaweka wazi kuhusiana na hilo.
Vyanzo: GSMArena, Gadgets Now